Nimetapeliwa mwenzenu!

Nimetapeliwa mwenzenu!

Ila katika binadamu wanaonipa block wewe umezidi aisee...

Kha Kwa siku unaweza nipa block na Kuni unblock hata mara kumi...

hahahaha
😂 😂😂🙄 hata ivo kuwa nawe inatakiwa uvumilivu sana,unachosha,unaumiza,unakatisha tamaa
 
Kila siku napost hapa kuwa usimpe mwanamke pesa.
Hata akikupa maku usimpe pesa
Acha ujinga
Sasa watu mnataka kuoana haya ya kuombana nauli elfu 50 yanatoka wapi?
Umetapliwa na kidume trust me.
Wamekuchezea mchezo
 
Back
Top Bottom