Wanarudisha hata kama katoa tayari,wee sema humjui namekosea muamala...Alishaitoa muda!
Humu JF Kuna ushauri mwingi sana unaojenga. Mimi nilikua mmoja wapo, mtu wa kubisha. Ila saiz nauamini 100%.Watu waliuponda ule uzi, "usimwonee huruma kabisa mwanamke.." ila mimi nauheshimu na umebadilisha sana life langu ndani ya muda mfupi.
Mwanamke hana shukrani wala hakumbuki fadhila za mtu akipata mfadhili mwingine.
Nadhani siku akipokea hela tuu katika line yake hiyo wanaitoa moja kwa moja, nilisikia kitu kama hichoKivipi na ashatoa mkuu,nieleze vzur
mwambie huyo mzee mwenzetuHivi nyie vijana lini mtakuwana akili? Mtu anataka mkutane anaomba utumie nauli? Kama hata uwezo wa kuja kuonana na wewe hana, wa nini huyo?
MtagAsee leo baada ya kutapeliwa kizembe nimeamini yale maneno ya taikoni la fasihi, usimwamini mwanamke wala kumwonea huruma!
Kuna demu humu kapost anataka mume mie nkampandia hewani, tukaekana sawa, tatizo likaja kwenye kuonana, demu akadai hana pesa nkamtigo pesa alufu 50 chap na yakutolea.
Cha ajabu hapokei simu tena wala kujibu msg! We mdada ulonilaghai kwa maneno matamu kua unaniletea mbususu na umenizulumu pesa yangu namwachia Mungu atanilipia! Hapa nilipo moyo unanienda kasi sana na tumachozi twa mbali.
Kuanzia leo sitasubutu kutumia mtoto wa mtu nauli! Hapa nilipo najilaumu sana ni bora ningeingia hapo juliana nkapiga kitimoto na serengeti light baridiiiii...
Swain!!
Mwendee kwa mtaalam Bagamoyo hapo atainya Mara tatu zaidiAsee leo baada ya kutapeliwa kizembe nimeamini yale maneno ya taikoni la fasihi, usimwamini mwanamke wala kumwonea huruma!
Kuna demu humu kapost anataka mume mie nkampandia hewani, tukaekana sawa, tatizo likaja kwenye kuonana, demu akadai hana pesa nkamtigo pesa alufu 50 chap na yakutolea.
Cha ajabu hapokei simu tena wala kujibu msg! We mdada ulonilaghai kwa maneno matamu kua unaniletea mbususu na umenizulumu pesa yangu namwachia Mungu atanilipia! Hapa nilipo moyo unanienda kasi sana na tumachozi twa mbali.
Kuanzia leo sitasubutu kutumia mtoto wa mtu nauli! Hapa nilipo najilaumu sana ni bora ningeingia hapo juliana nkapiga kitimoto na serengeti light baridiiiii...
Swain!!
Swali la msingi sana .Una uhakika gani kua huyo uliyemtumia nauli ni Mwanamke?
Karibu sana😂 nakuja,ila nataka niwe wa kwanza kukutapeli