Nimetapeliwa mwenzenu!

Nimetapeliwa mwenzenu!

.
JamiiForums1859379347.gif
 
Watu waliuponda ule uzi, "usimwonee huruma kabisa mwanamke.." ila mimi nauheshimu na umebadilisha sana life langu ndani ya muda mfupi.
Mwanamke hana shukrani wala hakumbuki fadhila za mtu akipata mfadhili mwingine.
Humu JF Kuna ushauri mwingi sana unaojenga. Mimi nilikua mmoja wapo, mtu wa kubisha. Ila saiz nauamini 100%.

Mwanamke jitahidi awe mtumwa wako kiuchumi au kinnamna yoyote ile. Familia itakua yenye maadili na pia watoto watakua na utambuz wa kiakili sana. Ila mwanamke akiwa juu yako, ukimhusudu Kam malaika, hata hiyo familia itakua ya ajabu sana.
 
Asee leo baada ya kutapeliwa kizembe nimeamini yale maneno ya taikoni la fasihi, usimwamini mwanamke wala kumwonea huruma!

Kuna demu humu kapost anataka mume mie nkampandia hewani, tukaekana sawa, tatizo likaja kwenye kuonana, demu akadai hana pesa nkamtigo pesa alufu 50 chap na yakutolea.

Cha ajabu hapokei simu tena wala kujibu msg! We mdada ulonilaghai kwa maneno matamu kua unaniletea mbususu na umenizulumu pesa yangu namwachia Mungu atanilipia! Hapa nilipo moyo unanienda kasi sana na tumachozi twa mbali.

Kuanzia leo sitasubutu kutumia mtoto wa mtu nauli! Hapa nilipo najilaumu sana ni bora ningeingia hapo juliana nkapiga kitimoto na serengeti light baridiiiii...

Swain!!
Mtag
 
Asee leo baada ya kutapeliwa kizembe nimeamini yale maneno ya taikoni la fasihi, usimwamini mwanamke wala kumwonea huruma!

Kuna demu humu kapost anataka mume mie nkampandia hewani, tukaekana sawa, tatizo likaja kwenye kuonana, demu akadai hana pesa nkamtigo pesa alufu 50 chap na yakutolea.

Cha ajabu hapokei simu tena wala kujibu msg! We mdada ulonilaghai kwa maneno matamu kua unaniletea mbususu na umenizulumu pesa yangu namwachia Mungu atanilipia! Hapa nilipo moyo unanienda kasi sana na tumachozi twa mbali.

Kuanzia leo sitasubutu kutumia mtoto wa mtu nauli! Hapa nilipo najilaumu sana ni bora ningeingia hapo juliana nkapiga kitimoto na serengeti light baridiiiii...

Swain!!
Mwendee kwa mtaalam Bagamoyo hapo atainya Mara tatu zaidi
 
Hebu mtag mkuu, uokoe na wenginr pia.
Lakini pia ili kama na yeye aliteleza akutafute.
 
Kama huwezi kutag ID yake bhasi ni chai kavuu hiii...!! ID ya mwizi haiwi protected..
 
Kwann usitume screenshot ya huyo mdada alietuma hilo ombi la kutafuta mme ili na sisi tumtumie zngne
 
Back
Top Bottom