Ndo Yule single mother amekulipua chief 😬?Asee leo nimeamini yale maneno ya taikoni wa fasihi,usimwamini mwanamke wala kumwonea huruma! Kuna dem humu kapost anataka mume mie nkampandia hewani,tukaekana sawa,tatizo likaja kwenye kuonana,dem akadai hana pesa nkamtigo pesa alufu 50 chap na yakutolea..chaajab hapikei sim wala kujib msg! We mdada ulonilaghai kwa maneno matamu kua unaniletea mbususu na umenizulumu pesa yangu namwachia Mungu atanilipia! Hapa nilipo moyo unanienda kasi sana na tumachoz twa mbali.
Kuanzia leo sitasubutu kutumia mtoto wa mtu nauli! Hapa nilipo najilaumu sana ni bora ningeingia hapo juliana nkapiga kitimoto na serengeti light baridiiiii...
Swain!!
Na usikute ulikuwa unachat na kidume mwenzako anajifanya pisi kaliYani najuta na hizi ngedere za humu!!
Unampa bwege kama huyu pole? Wajinga wajinga kama hawa wanajifunza kwa mafunzo kama haya tu.Pole sana mkuu!
Asa mbona nikipiga sim anapokea dem?We ushawah sikia watu wanaoana umu jf umu ndani wanawake ni wachache sana navwengi wao washakomaa ki wizi kingine ni kwamba ID nyingi za warembo umu nyuma ya pazia ninwanaume
Mtag tumjue huyo tapeli mkuu!Nimeliwa pesa yangu kizembe sana!
Tatizo kichwa cha chini (abdala kichwa waz) keshaamua,mie nifanyeje sasa,vitu vingine sio vya kulaumiana mkuu!Hivi nyie vijana lini mtakuwana akili? Mtu anataka mkutane anaomba utumie nauli? Kama hata uwezo wa kuja kuonana na wewe hana, wa nini huyo?
Atakuwa Anatokea Buzilayombo Chato HukoNauli elfu 50 anatokea busisi au?
Pole ya nini hapo!? Hiyo pole yako imekosea mtu wa kumpa chief!?.....vipo vya kuonewa huruma....na sio kama hivi....Pole sana mkuu!
Hahaaaa Mungu yuko busy sana hawezi kujihusisha na mambo yakonamwachia Mungu atanilipia!