Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,980
- 13,633
Huu Unaitwa Utani Wa Ngumi.
Ooh..pamoja mkuu le akili kubwazNiko bata batani,tuwasiliane kesho asubuhi!Nitakuongeza na pajama moja incase mkitaka na turubai juuView attachment 450221
HahaaShati linafunika passo
Hahaaa!..mashuka yake mawili yanaweza yakafunikaa hata uwanja wa taifa..!We jamaa siyo kabisa kama mashati mawili yanatosha VP shuka lake ?
Mwenzako niliifungua na spea za turubai,japo ilinipa shida kidogoIphone kwanza huwezi ifungua kijinga jinga
Heshima yako mkongweHahahaaaah watu mna utani.!
Safi boss mzima??Heshima yako mkongwe
Mkuu umesababisha nicheke kwa nguvu mnoooo mpaka nimejisahau kuwa nadaiwa kodi ya nyumba hapa