Prof Gamba
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 390
- 254
Kila la heri mpiganaji wetu, vijana ndio nguzo kwenye harakati ya kulikomboa taifa letu mikononi mwa wakoloni weusi/mafisadi, tuko pamoja ila jitahidi kuwashawishi watu wa huko kwa hoja nzito zenye kujenga. Mtaji wa kijana kwenye siasa ni uwezo wake wa kujenga hoja za maana na kuzisimamia. Kila la kheri.