Nimetafuta mke nimekosa,wanawake mpo?

Nimetafuta mke nimekosa,wanawake mpo?

nenda hospitali ukafanye booking ya mke...hata mi naona wanawake wameisha
 
impongo
Sio kweli mkuu now days wanawake hawachagui mume wa kuolewa nae ilimradiu apate uhakika wa kula na kuvaa ukiwa kilema sawa makengeza hewara bonge swadakta.
 
Last edited by a moderator:
appoh
Ambae hachagui hajielewi, nawee utaemchukua unakua haujielewi vile vile sababu ndege wafananao huruka pamoja, mziki mkifika ndani.
Wakati (me) anadhani papuchi ndio mpango mzima na (she) anadhaman mbumba ndio mambo yote, inakuwa siyo. Hapo ndoa ikidumu miezi sita hata shetani anashangaa kuwa imewezekanaje.
 
Last edited by a moderator:
Imeandikwa "mke mwema hutoka kwa Mungu"Ila usitegemee mke mwema ilihali wewe haujajiandaa kuwa mume mwema.
 
Ujamuona mankam, lala1, miss chaga, evelyn salt, king'ast, nemless girl.
 
Chamamu
Kama mke mwema anatola kwa mungu na mume mwema atatoka kwenye ATM.
 
Last edited by a moderator:
nimetafuta mke wa kuoa sasa mwaka wa pili sasa sijapata wala siwaoni wanawake je wanawake siku hizi wanaishi sayari gan?i msaada anayejua walipo.
omba mungu akupe macho ya kuona.
 
pole sana! kama mke umekosa tafuta mme akuoe
 
Wewe ndo tatizo napata picha una kasoro kuanzia kuongea adi kutembea bila shaka
 
pole mkuu,jiandae kisaikolojia labda wako hayupo dunia hii,utampata mbinguni,lol,ila wewe ni mwanaume unaogopa nini??wakati una uwezo wa kuopoa kabinti ka miaka kumi na nane, hata ukiwa una umri wa miaka 70? ili mradi uwe una uhakika wa kukalisha na kukavalisha hako kabinti lol:nod:
 
kama kweli umekosa wa kumuoa tafuta mtu akuoe tafuta mume hapo hukosi
 
Back
Top Bottom