Nimetafuta kazi mpaka nimechoka najiona sina faida hapa duniani

Kuna kitu kinaitwa trainee Zanzibar. Unapiga miezi 3 unapata cheti na possibility ya kazi ipoo. Mwez wa 6 kunafurika utalii sana Zanzibar hivyo makampuni yanaongeza scope ya operation.

Unaweza kusomea house keeping, barman, chef, front desk miezi 3 tu. Ada Yao ni 150 lakin pia wanalipaga kila mwez. Fikiria katika muktadha huu ili usijionyonge. Dar ngum sana..

Kwa kada hizo mishahra Yao inarange 300-500 kuntegemea na standard za kampuni
Ushauri mzuri sanaa mkuu naomba mawasiliano either yako au kam kuna rafk yak au ndugu yak yuko hapo nipate mwelekeo mzuri kuingia hapo natanguliza shukran Be blessed kwa hii comment
 
Kwa akili yako ya kipumbavu wewe kufa tu huna haja ya kuishi. Huwezi ukawa mwanaume hata siku moja ukaanza kutaka kuonewa huruma dunia hii, hakuna na dunia hii haijawahi pokea Mwanaume wa namna hiyo.

Wazazi, kila mpatapo muda wa kuzungumza na watoto wenu wa kiume, wafundisheni namna ya kuwa wanaume. Sisi wengine tulijifunza kutokana na mrengo wa maisha ulivyotutaka, hatukumlalamikia mtu leo hii angalau kuna kitu kinapatikana.
 
Huna akili

Si kila mtu ana jicho la kuona fursa zinazomzunguka ukiwemo wewe, huyo kijana hatafuti utajiri anatafuta kazi ili apate pesa na pesa zipo kwa watu, ili uzipate unapaswa kutatua changamoto zao. Najua hunielewi kwa sababu huna akili.
Eti najua hunielewi kwasababu huna akili🤣🤣
 
Naombeni mnisaidie nipate kazi ndugu zangu labda humu jukwaani nitapata msaada

Nimehitimu mwaka 2022 Degree ya maendeleo ya jamii

Nina diploma pia ya maendeleo ya jamii. Nina certificate pia ya maendeleo ya jamii

Nimehangaika sana suala la kazi hadi nimejikatia tamaa nimekua ni mtu wa kushinda geto tu na nimekua nikijikatia tamaa tu

Baada ya kumaliza form 4 wazazi wangu walichangachanga wakanipeleka chuo wakanisomesha kwa shida na dhiki sana hadi nikahitimu diploma. Nilipomaliza diploma tu nikakaa nyumbani kama mwaka nikihangaikia masuala ya kazi kama mwaka huku nikijishughulisha na shughuli ndogondogo ujasiriamali na ufugaji mambo hayakwenda nilivyotarajia nikaenda kujiendeleza kusoma degree

Degree nilipata mkopo ila asilimia 40 tu hapo safari yangu ya kuanza kujitegemea na kujibana ilianza zaidi, ilinibidi sasa nipambane niweze kujilipia ada kodi na kila kitu nimejipambania mwenyewe miaka 3 nasoma huku napiga mishe za hapa na pale mpaka nimehitimu shahada yangu ya maendeleo ya jamii.

Sikurudi nyumbani nikaona niendelee kukomaa tu na kitaa huku nikisaka ajira, na mishe za hapa na pale. Nimehangaika na mishezangu sasahivi mambo yangu yamekua magumu sana, mishe zimebuma, nimehangaika na suala la kazi mpaka nimechoka

Huko kwenye mashirika nimeenda sana nimeaply sana lakini wapiWenzangu kadhaa tulomaliza nao walishapata kazi kitamboo na sahivi wanaishi maisha yao mazuri tu mimi najiona kama mkosi tu na nisiye na faida nyumbani hawaelewi kabisa wanaona kama nawatania nikiwaambia sina kazi.

Sasahiv napitia msongo mkali sana wa mawazo umri unasogea sina mbele wala nyumanajuta kuzaliwa, najuta kuishi najiona sina thamani kabisa, nimekua ni mtu wa kujifungia ndani na kulia tu.

Sasa hivi nyumbani na ndugu jamaa maswali mengi kila mara utaulizwa kwamba hujapata kazi tu?Kwanini hadi sasa hujapata kazi?Baba yangu ni mzee yupo 70+ mama nae yupo 60+ nilitakiwa sahivi niwe nawasaidia sio umri wao wa kuanza kuhangaika kubangaiza roho inaniuma sana najiona sina maana tena kwao najiona kama siwatendei wazazi wangu.

Kweli kazi sikuhizi bila connection mtu hutoboi!! Ananijua nani mimi? Wenzangu mnaopata kazi mnafanyaje mbona kila kitu natimiza lakini sipati?Hali nayopitia sahv ni ngumu ni ngumu mno, naombeni yoyote anayejua hata shirika lolote nikajitolee tu nipo tayar kwa hapa Dar. Mimi nipate tu walau kazi ya kujitolea tu ilimradi niwe bize nishachoka kukaa mtaani.

Mimi nipo tayari hata mtu anitafutie kazi shirika au mahali popote nipo tayari hata mshahara wangu wa mwanzo achukue yeye tu kama malipo ya kunitafutia kazi.

Wenzangu wengi tulomaliza nao wana kazi muda wengine tokea diploma huko walipata kazi wana maisha mazuri kila kitu mimi sina chochote cha maana hapa duniani sazingine naona bora ningekufa tu siku nilizaliwa wapo hadi wanaonicheka wakiona nilikua najifanya napenda sana ndo maana nilijiendeleza zaidi kielimu

Nisaidieni ndugu zangu nipate kazi popote hata kujitolea nipo tayari
Hizi ni mentality za vilaza za kukariri kazi za vyeti vya shule.maisha ni mapana sana dogo,acha kuwa na akili mgando.
 
Mm namshauri kijana mwenzangu huyu kwamba kwanza kitu cha kwanza anachopaswa kufanya ni kushinda hofu , hofu ni adui wa binadamu maaana inamfanya aone kama hawez kabsa kufanikiwa kwahyo amejikuta muda mwingi anawaza badala ya kuamka na kuchukua hatua ya kupambana hawezi maaana muda mwingi hofu imemtawala na kumfanya asiwaze nje ya box hofu imemuweka kwenye mabano pili namshauri ajitume asichague kazi siku hizi watu wanaangalia ujuzi na sio vyeti akipata hata kazi za ujenzi afanye achange change apate nauli ya kwenda mbali na mazingira yake aloyazoea maanaa wakat mwingine mazingira nayo huwa ni chanzo cha kukufanya usifanikiwe lkn tatu amtangulize MUNGU nne ajichanganye na watu wenye maono wazee wa kazi ila cha mwisho anatakiwa kujiamini alafu awe na uwezo wa kujieleza akifanya ivyo atafanikwa na imani hyo.
 
"The world is not a bunch of pretty postcards"

"Apparently the world is not a wish granting factory"

Pole sana tembea na iyo misemo kichwani mwako, Unawaza huna maana dunian apa unawafikiria wazaz wako waliokupambania au unajiwaza mwenyewe vp mfano utajitoa uhai wao utawaacha vipi? Komaa.

Kwa jinsi navyomuona mzee wangu anapambana pamoja na kwamba umri umekuwa mkubwa inanizidisha hasira na kutokata tamaa kwani yeye ndo role model wangu wa kwanza.
 
Hawa ndo wasomi wetu Tz😜.
Elimu ya nadhalia.
Endelea kuzarau kazi mkuu.
Maana inafikia hatua mnachagua kazi ya kufanya
Ilitokea kazi frani moyoni unaona kama sio hadhi yako ,🤔.
Najua unatuzuga tu na kutuchora humu.

Kama kweli,shukuru kupewa mkopo 40%.

Ila kiukweli ilitakiwa uwe jela mda huu.
Maana ni hasara umeiingizia Serikali ya Vilaza ya CCM😏.
Akili ndogo kuongoza akili kubwa.
Soma alama za nyakati
 
Naombeni mnisaidie nipate kazi ndugu zangu labda humu jukwaani nitapata msaada

Nimehitimu mwaka 2022 Degree ya maendeleo ya jamii

Nina diploma pia ya maendeleo ya jamii. Nina certificate pia ya maendeleo ya jamii

Nimehangaika sana suala la kazi hadi nimejikatia tamaa nimekua ni mtu wa kushinda geto tu na nimekua nikijikatia tamaa tu

Baada ya kumaliza form 4 wazazi wangu walichangachanga wakanipeleka chuo wakanisomesha kwa shida na dhiki sana hadi nikahitimu diploma. Nilipomaliza diploma tu nikakaa nyumbani kama mwaka nikihangaikia masuala ya kazi kama mwaka huku nikijishughulisha na shughuli ndogondogo ujasiriamali na ufugaji mambo hayakwenda nilivyotarajia nikaenda kujiendeleza kusoma degree

Degree nilipata mkopo ila asilimia 40 tu hapo safari yangu ya kuanza kujitegemea na kujibana ilianza zaidi, ilinibidi sasa nipambane niweze kujilipia ada kodi na kila kitu nimejipambania mwenyewe miaka 3 nasoma huku napiga mishe za hapa na pale mpaka nimehitimu shahada yangu ya maendeleo ya jamii.

Sikurudi nyumbani nikaona niendelee kukomaa tu na kitaa huku nikisaka ajira, na mishe za hapa na pale. Nimehangaika na mishezangu sasahivi mambo yangu yamekua magumu sana, mishe zimebuma, nimehangaika na suala la kazi mpaka nimechoka

Huko kwenye mashirika nimeenda sana nimeaply sana lakini wapiWenzangu kadhaa tulomaliza nao walishapata kazi kitamboo na sahivi wanaishi maisha yao mazuri tu mimi najiona kama mkosi tu na nisiye na faida nyumbani hawaelewi kabisa wanaona kama nawatania nikiwaambia sina kazi.

Sasahiv napitia msongo mkali sana wa mawazo umri unasogea sina mbele wala nyumanajuta kuzaliwa, najuta kuishi najiona sina thamani kabisa, nimekua ni mtu wa kujifungia ndani na kulia tu.

Sasa hivi nyumbani na ndugu jamaa maswali mengi kila mara utaulizwa kwamba hujapata kazi tu?Kwanini hadi sasa hujapata kazi?Baba yangu ni mzee yupo 70+ mama nae yupo 60+ nilitakiwa sahivi niwe nawasaidia sio umri wao wa kuanza kuhangaika kubangaiza roho inaniuma sana najiona sina maana tena kwao najiona kama siwatendei wazazi wangu.

Kweli kazi sikuhizi bila connection mtu hutoboi!! Ananijua nani mimi? Wenzangu mnaopata kazi mnafanyaje mbona kila kitu natimiza lakini sipati?Hali nayopitia sahv ni ngumu ni ngumu mno, naombeni yoyote anayejua hata shirika lolote nikajitolee tu nipo tayar kwa hapa Dar. Mimi nipate tu walau kazi ya kujitolea tu ilimradi niwe bize nishachoka kukaa mtaani.

Mimi nipo tayari hata mtu anitafutie kazi shirika au mahali popote nipo tayari hata mshahara wangu wa mwanzo achukue yeye tu kama malipo ya kunitafutia kazi.

Wenzangu wengi tulomaliza nao wana kazi muda wengine tokea diploma huko walipata kazi wana maisha mazuri kila kitu mimi sina chochote cha maana hapa duniani sazingine naona bora ningekufa tu siku nilizaliwa wapo hadi wanaonicheka wakiona nilikua najifanya napenda sana ndo maana nilijiendeleza zaidi kielimu

Nisaidieni ndugu zangu nipate kazi popote hata kujitolea nipo tayari
Mkuu; Mbona kazi ya kutafuta kazi ilivyo yenyewe ni kazi tayari? Unataka umpate mtu akufanyie hiyo kazi yako ya kutafuta kazi? Halafu ww utafanya nini? Pambana mkuu ushinde mechi zako. Labda tafuta mtu akupige tafu.
 
Pole bro ila amini hukuzaliwa ili ujute, Kuna siku Yako, nayo Iko karibu Sana kuliko unavodhani, pia punguza kujiweka upande usiofaa, Wala usiangalie maisha ya mtu kama kipimo Cha mafanikio Yako, coz Kila mtu ana njia yake ya mafanikio,


Kwa kuona Hilo mi nikaamua nione watanzania ni WA aina Gani , pamoja na ugumu wa story

Eti Kuna like(thanks)24,
Masikitiko 6
Kicheko 4

Ili kuwaelewa wabongo Kuna haja ya kurudi darasani
 
Pole bro ila amini hukuzaliwa ili ujute, Kuna siku Yako, nayo Iko karibu Sana kuliko unavodhani, pia punguza kujiweka upande usiofaa, Wala usiangalie maisha ya mtu kama kipimo Cha mafanikio Yako, coz Kila mtu ana njia yake ya mafanikio,


Kwa kuona Hilo mi nikaamua nione watanzania ni WA aina Gani , pamoja na ugumu wa story

Eti Kuna like(thanks)24,
Masikitiko 6
Kicheko 4

Ili kuwaelewa wabongo Kuna haja ya kurudi darasani
Asante sana mkuu
 
Dunia ukiitafuta sana itakusumbua sana...niliweka diploma yangu pembeni...nikawa mlinzi

Niliachana na ulinzi Leo hii nimejiajili as a boda boda driver

Napiga maokoto shida zangu najitatulia mwenyewe.​
Hongera sana mkuu
 
"The world is not a bunch of pretty postcards"

"Apparently the world is not a wish granting factory"

Pole sana tembea na iyo misemo kichwani mwako, Unawaza huna maana dunian apa unawafikiria wazaz wako waliokupambania au unajiwaza mwenyewe vp mfano utajitoa uhai wao utawaacha vipi? Komaa.

Kwa jinsi navyomuona mzee wangu anapambana pamoja na kwamba umri umekuwa mkubwa inanizidisha hasira na kutokata tamaa kwani yeye ndo role model wangu wa kwanza.
Asante sana
 
Back
Top Bottom