Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,211
- 42,074
Umejiunga ajira portal? Kuna ajira za watendaji wa kijiji zimetangazqa!Nimeomba hadi taesa nimeenda
Umejiunga ajira portal? Kuna ajira za watendaji wa kijiji zimetangazqa!Nimeomba hadi taesa nimeenda
Watu wanaweka matangazo huku nafasi umesha jazwa kitambo sanaKazi ni connection ,hazitafutwi kwa kuapply baada ya kuona tangazo.
Taesa mimi sina ushuhuda nao kabisaa 😁Nimeomba hadi taesa nimeenda
Mpe connection kijana ofisini kwenu.😅Taesa mimi sina ushuhuda nao kabisaa 😁
mtu hata kula yake ya tabu wewe unaleta story za kumtoa mtu.Kazi ngumu haziwezi kumtoa kijana ni hatari kwa afya pia kuna kazi kama boda boda na uchinga watu wamegeuza ni ajira sio kweli hizi kazi haziwezi kukutoa kimaisha labda kama utaamua kuingia kwenye mchakato wa muda mfupi kutengeneza njia nyingine
Wewe ulichotakiwa ni kutoa Ramani full mkeka ikiwezekana na Namba ya mtu wa kumconnect nae sio unabwabwaja tu unafikiri huko wanapokea watu wasiowajua ovyo ovyo km umekuja kuwaibia watakuamini vipi unafikiri masoko yanakubari watu ovyo ovyo unajiingiza eti na wewe unaenda kuvamia upate 30k?Upo Dar sio, kule Mabibo ni nguvu zako tu, kama una hulka ya uongeaji jichanganye na wale washusha ndizi, viazi, matunza aloo wale jamaa wanakunja hadi 30k per day, ni nguvu zako na uaminifu.
Nitolee ngonjera pimbi weweThe Lastdream
Captain Fire
RUSTEM PASHA
6WaS9
Nyinyi msicheke maana miaka 10 mbele hamjui itakuaje kwenye Maisha yenu mnaemcheka leo mnasahau kesho ni zamu yenu mtalia na kusaga Meno kuna watu wanapitia hali mbaya sana za Maisha Ila ni Mungu tu anawahifadhi na kuwafanya waendelee kuishi ingekua ukipatwa na ugumu wa Maisha unakufa basi barabarani kungekua kumezagaa mizoga ya watu wengi wengi mno
Juzi kuna kipindi nilikua naangalia TBC kinaitwa Wape Nafasi pale ndio nilipogundua kua kuna watu wanapitia magumu mno wewe km unagonga mkate blueband maziwa siagi na yai kila siku jua kuna mtu hajui kuhusu hio anasa kuna wenzio hata chai Mwaka unakatika hawaijui ina ladha gani
Na huyu
Wewe ulichotakiwa ni kutoa Ramani full mkeka ikiwezekana na Namba ya mtu wa kumconnect nae sio unabwabwaja tu unafikiri huko wanapokea watu wasiowajua ovyo ovyo km umekuja kuwaibia watakuamini vipi unafikiri masoko yanakubari watu ovyo ovyo unajiingiza eti na wewe unaenda kuvamia upate 30k?
Mpe mwongozo fika pale Sokoni onana na fulani na fulani atakufikisha kwa fulani na fulani atakupa utaratibu fulani
Jamaa yangu Superleta mkuu usihuzunike na maneno ya hawa watu wa humu najua una ndoto umesoma ukiwa na malengo ya kutumia ndoto zako humu kuna watu wa kila namna watu wa hali zote wenye hali ya juu na wenye hali ya chini Amini siku moja Maisha yako hayatokua km yalivyo Ila ningekuomba usiache kutuma maombi ya kazi pia muombe Mungu wako kabla na baada ya kutuma maombi, IPO siku isiyo na Jina utapata kazi ya ndoto zako na utatimiza malengo yako Ila usiache kujishughulisha kwa chochote cha kawaida (tunaita angalia Side B) maana Side A ishaanza kuonyesha kufeli au nyimbo zimekwisha kwa hio mbele hakuna muendelezo redio itabaki kukoroma tu kwa hio geuza hio tape weka Side B mziki uendelee kulia vizuri na wewe ufurahie kuusikiliza mziki wa hii Dunia, kwa waliowahi kutumia Cassettes watakua wamenielewa
Sehemu rahisi ya kuanzia jichanganye mfano kwenye Car Washes hizi hawaitaki cheti chochote kujua kuosha pikipiki, Bajaj au gari ndogo, bus au Lori pale ukijieleza watakupa maelekezo madogo tu then utaanza kuosha jichanganye na huko, ukihitaji njoo PM nikupe uelekeo wapi uende wakupe msaada huo
Kingine usije ukajichanganya viwandani viwandani ni kwenda kujitesa malipo kidogo kazi kubwa wakati kuna jamaa kakaa pale anaimwagia bodaboda 1 maji chwaaaa anapewa 2000/3000 akimwagia 10 tayari kakunja 20,000/30,000 wewe kiwandani unafanya kazi masaa 12 unalipwa 3000 hivi nani mwenye akili hapo?
Tukana leo after 10 years I'm telling you itakua zamu yako, mnaishi kwa kujisahau sana wanadamu hamjui Maisha yalivyo jifunze kwa waliokutanguliaNitolee ngonjera pimbi wewe
Huyo mwenzio sijui ndio wewe anatakiwa apambane sio kulia lia kama shoga hapa mimi nili husstle kweli kweli mpaka hapa nilipo naweza kujiita tajiri tena sii taniri kwa kuforce hapa ni tajiri haswa sema kueleza siwezi
Tatizo vijana siku hizi wanataka maisha merereko wakati maisha ya siku hizi kuna fursa kibao yena sana tofauti na miaka yetu
Pumbavu mkubwa wewe kunguru kama wewe hunitishi kwa chochote pambana kijana mambo ya kulia lia mitandaoni haisaidii kitu fanya kazi sio kulia hamna ajiraTukana leo after 10 years I'm telling itakua zamu yako
Mkuu Captain Fire nipe furusa Boss.Nitolee ngonjera pimbi wewe
Huyo mwenzio sijui ndio wewe anatakiwa apambane sio kulia lia kama shoga hapa mimi nili husstle kweli kweli mpaka hapa nilipo naweza kujiita tajiri tena sii taniri kwa kuforce hapa ni tajiri haswa sema kueleza siwezi
Tatizo vijana siku hizi wanataka maisha merereko wakati maisha ya siku hizi kuna fursa kibao yena sana tofauti na miaka yetu
Huna akiliKungekuwa na fursa nchi hii kila kijana angekuwa tajiri
We kijana uko sawa??The Lastdream
Captain Fire
RUSTEM PASHA
6WaS9
Nyinyi msicheke maana miaka 10 mbele hamjui itakuaje kwenye Maisha yenu mnaemcheka leo mnasahau kesho ni zamu yenu mtalia na kusaga Meno kuna watu wanapitia hali mbaya sana za Maisha Ila ni Mungu tu anawahifadhi na kuwafanya waendelee kuishi ingekua ukipatwa na ugumu wa Maisha unakufa basi barabarani kungekua kumezagaa mizoga ya watu wengi wengi mno
Juzi kuna kipindi nilikua naangalia TBC kinaitwa Wape Nafasi pale ndio nilipogundua kua kuna watu wanapitia magumu mno wewe km unagonga mkate blueband maziwa siagi na yai kila siku jua kuna mtu hajui kuhusu hio anasa kuna wenzio hata chai Mwaka unakatika hawaijui ina ladha gani
Na huyu
Wewe ulichotakiwa ni kutoa Ramani full mkeka ikiwezekana na Namba ya mtu wa kumconnect nae sio unabwabwaja tu unafikiri huko wanapokea watu wasiowajua ovyo ovyo km umekuja kuwaibia watakuamini vipi unafikiri masoko yanakubari watu ovyo ovyo unajiingiza eti na wewe unaenda kuvamia upate 30k?
Mpe mwongozo fika pale Sokoni onana na fulani na fulani atakufikisha kwa fulani na fulani atakupa utaratibu fulani
Jamaa yangu Superleta mkuu usihuzunike na maneno ya hawa watu wa humu najua una ndoto umesoma ukiwa na malengo ya kutumia ndoto zako humu kuna watu wa kila namna watu wa hali zote wenye hali ya juu na wenye hali ya chini Amini siku moja Maisha yako hayatokua km yalivyo Ila ningekuomba usiache kutuma maombi ya kazi pia muombe Mungu wako kabla na baada ya kutuma maombi, IPO siku isiyo na Jina utapata kazi ya ndoto zako na utatimiza malengo yako Ila usiache kujishughulisha kwa chochote cha kawaida (tunaita angalia Side B) maana Side A ishaanza kuonyesha kufeli au nyimbo zimekwisha kwa hio mbele hakuna muendelezo redio itabaki kukoroma tu kwa hio geuza hio tape weka Side B mziki uendelee kulia vizuri na wewe ufurahie kuusikiliza mziki wa hii Dunia, kwa waliowahi kutumia Cassettes watakua wamenielewa
Sehemu rahisi ya kuanzia jichanganye mfano kwenye Car Washes hizi hawaitaki cheti chochote kujua kuosha pikipiki, Bajaj au gari ndogo, bus au Lori pale ukijieleza watakupa maelekezo madogo tu then utaanza kuosha jichanganye na huko, ukihitaji njoo PM nikupe uelekeo wapi uende wakupe msaada huo
Kingine usije ukajichanganya viwandani viwandani ni kwenda kujitesa malipo kidogo kazi kubwa wakati kuna jamaa kakaa pale anaimwagia bodaboda 1 maji chwaaaa anapewa 2000/3000 akimwagia 10 tayari kakunja 20,000/30,000 wewe kiwandani unafanya kazi masaa 12 unalipwa 3000 hivi nani mwenye akili hapo?
Upo mkoa ganiMkuu Captain Fire nipe furusa Boss.
Huyo jamaa hajielewi kuna time za mapambano sio kuendekeza kulia, hakusaidii kitu.Nitolee ngonjera pimbi wewe
Huyo mwenzio sijui ndio wewe anatakiwa apambane sio kulia lia kama shoga hapa mimi nili husstle kweli kweli mpaka hapa nilipo naweza kujiita tajiri tena sii taniri kwa kuforce hapa ni tajiri haswa sema kueleza siwezi
Tatizo vijana siku hizi wanataka maisha merereko wakati maisha ya siku hizi kuna fursa kibao yena sana tofauti na miaka yetu
Miaka 10 mbele bro you will be like him count down from now, naku-ignorePumbavu mkubwa wewe kunguru kama wewe hunitishi kwa chochote pambana kijana mambo ya kulia lia mitandaoni haisaidii kitu fanya kazi sio kulia hamna ajira
Sio sijaielewi wewe mboni Mimi nimeeleza kila kitu nini hujaelewa? Au una kichwa kizito?Huyo jamaa hajielewi kuna time za mapambano sio kuendekeza kulia, hakusaidii kitu.
Toka nje ujaribu, ukishindwa tafuta ishu nyingine, huko huko ndo utapata akili.
Ila ukijifungia ndani utabaki na akili mgando kwa kuona kila kitu hakiwezekani, ooh sina mtaji, sina huki, sina kile na excuses kibao.