Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,133
- 6,773
Kaka Nina hakika na wewe unaandika tu hapa hata hujawahi kwenda kwenye shule hata moja, Mdogo wangu amemaliza form six akaona kukaa iddle hakufai, jirani Luna shule ya sekondari ya serikali akaomba kwenda kujitolea, wakapenda kazi yake na kuanza kumlipa allowance, Mi siongei uzushi naongea experience ya kweli.Nyie watu mnaotoa majibu rahisi kwa hoja ngumu mnakela sana, ni bora ukawa msoma.comments tu kuliko kuandika maneno yenye kukera watu kama haya.
Hivi unajua Tanzania,private schools ziko ngapi? Na tangu serikali iache kuajiri walimu ni lini na je kila mwaka kuna wahitimu wangapi wanaletwa mtaani?...