Nimesoma Mkataba wa Wachina Bandari ya Bagamoyo, Tuna Viongozi wa Ajabu haijapata kutokea ! Tumshukuru Mungu kwa Hili

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Sep 11, 2017
1,694
3,982
Unaweza kuumwa kwa kuwaza na ukaamua kujinyonga kwa hasira. Yaani unajiuliza wale watu waliotaka kuwakabidhi wachina hiyo bandari ni wa Tanzania kweli au ni wachina wenyewe? Nchi hii imekuwa na viongozi wa ajabu sana. Wa hovyo.

Tumeweka madarakan miviongozi mijizi,mishetani,mijambazi ambayo inapora nchi kuwanufaisha wageni.

Nmejikuta natetemeka kwa hasira kali sana. Na washukuru Magufuli ana huruma ningekuwa mimi ningewanyonga hadharani kwa uhujumu uchumi na uhaini waliotaka kuufanya kwa rasilimali zetu.

Hawa watu si watakuwa mawakala wa shetani kbisa? Binadamu wa kawaida hawawezi ruhusu mikataba ya ki chief mangungo wa msovero karne hii.

Kwa kweli Tumshukuru sana Rais Magufuli. Angeingiwa na Tamaa tu...tungeliwa tena. Watanzania hamjajifunza GESI MTWARA? NYIE HAMWONI TULIVYOIBIWA KULE?

HAMJAJIFUNZA MKONGO WA MAWASILIANO? Viongozi walishakula chao wamepumzika na familia zao wanatudanganya na kilimo huku wameshatuibia sana.

Kwa kweli Magufuli aongezewe muda atawale miaka 15 minimum. Maana nina wasiwas itakuja tena mijitu ya hovyo kuuza nchi.

Achaneni na matunda ambayo yameshaanza kuoza...tena ya msimu chukueni vitu ambavyo hata sisi tunaviamini kufungia vyumba na nyumba zetu. MAGUFULI AGAIN 2020 HAKUNA PINGAMIZI.
 
najua mh rais kama mkuu wa nchi anayo mamlaka ya kuingia mikataba kwa niaba ya nchi, lakini kama JPM ni mzalendo kweli abadilishe huo utaratibu mikataba ya kiuchumi/uwekezaji iwekwe wazi na ijadiliwe na bunge, hii itasaidia hata yeye akiondoka tusiibiwe tena, kinyume na hapo wote wanakua ni wazugaji tu, sisi tutajuaje kuwa tunaibiwa? mpaka Lissu aseme?
 
Unaweza kuumwa kwa kuwaza na ukaamua kujinyonga kwa hasira. Yaani unajiuliza wale watu waliotaka kuwakabidhi wachina hiyo bandari ni wa Tanzania kweli au ni wachina wenyewe? Nchi hii imekuwa na viongozi wa ajabu sana. Wa hovyo.

Tumeweka madarakan miviongozi mijizi,mishetani,mijambazi ambayo inapora nchi kuwanufaisha wageni.

Nmejikuta natetemeka kwa hasira kali sana. Na washukuru Magufuli ana huruma ningekuwa mimi ningewanyonga hadharani kwa uhujumu uchumi na uhaini waliotaka kuufanya kwa rasilimali zetu.

Hawa watu si watakuwa mawakala wa shetani kbisa? Binadamu wa kawaida hawawezi ruhusu mikataba ya ki chief mangungo wa msovero karne hii.

Kwa kweli Tumshukuru sana Rais Magufuli. Angeingiwa na Tamaa tu...tungeliwa tena. Watanzania hamjajifunza GESI MTWARA? NYIE HAMWONI TULIVYOIBIWA KULE?

HAMJAJIFUNZA MKONGO WA MAWASILIANO? Viongozi walishakula chao wamepumzika na familia zao wanatudanganya na kilimo huku wameshatuibia sana.

Kwa kweli Magufuli aongezewe muda atawale miaka 15 minimum. Maana nina wasiwas itakuja tena mijitu ya hovyo kuuza nchi.

Achaneni na matunda ambayo yameshaanza kuoza...tena ya msimu chukueni vitu ambavyo hata sisi tunaviamini kufungia vyumba na nyumba zetu. MAGUFULI AGAIN 2020 HAKUNA PINGAMIZI.

Hapa unazungumzia ubaya wa huo Mkataba au unamsifia Magufuli ili aongozewe muda wa kukaa madarakani? Wekeni mkataba tusome wenyewe
 
Ndiyo sababu mikataba yote wanaficha Mkuu, hata Wabunge hawajui details za mikataba hiyo. Wanajua fika kwamba Watanzania hatutaikubali mikataba FAKE ambayo haina maslahi kwa Watanzania bali matumbo yao.

Nduli magufuli ni bomu kuliko wote waliotangulia. Huyu kalitia hasara kubwa sana Taifa la Watanzania kuliko mtu mwingine yeyote yule na tungekuwa na Bunge imara wangeshampigia kura ya KUTOKUWA NA IMANI NAYE hivyo kumuondoa madarakani.

Unaweza kuumwa kwa kuwaza na ukaamua kujinyonga kwa hasira. Yaani unajiuliza wale watu waliotaka kuwakabidhi wachina hiyo bandari ni wa Tanzania kweli au ni wachina wenyewe? Nchi hii imekuwa na viongozi wa ajabu sana. Wa hovyo.

Tumeweka madarakan miviongozi mijizi,mishetani,mijambazi ambayo inapora nchi kuwanufaisha wageni.

Nmejikuta natetemeka kwa hasira kali sana. Na washukuru Magufuli ana huruma ningekuwa mimi ningewanyonga hadharani kwa uhujumu uchumi na uhaini waliotaka kuufanya kwa rasilimali zetu.

Hawa watu si watakuwa mawakala wa shetani kbisa? Binadamu wa kawaida hawawezi ruhusu mikataba ya ki chief mangungo wa msovero karne hii.

Kwa kweli Tumshukuru sana Rais Magufuli. Angeingiwa na Tamaa tu...tungeliwa tena. Watanzania hamjajifunza GESI MTWARA? NYIE HAMWONI TULIVYOIBIWA KULE?

HAMJAJIFUNZA MKONGO WA MAWASILIANO? Viongozi walishakula chao wamepumzika na familia zao wanatudanganya na kilimo huku wameshatuibia sana.

Kwa kweli Magufuli aongezewe muda atawale miaka 15 minimum. Maana nina wasiwas itakuja tena mijitu ya hovyo kuuza nchi.

Achaneni na matunda ambayo yameshaanza kuoza...tena ya msimu chukueni vitu ambavyo hata sisi tunaviamini kufungia vyumba na nyumba zetu. MAGUFULI AGAIN 2020 HAKUNA PINGAMIZI.
 
Mikataba anayoingia Magu umeiona?

Hivi sisi wadanganyika ni watu kamili au sisi ni binadamu fake?

Inawekana miongoni mwetu wako fake maana reasoning yao kwa hakika ni ya kutia mashaka sana.
 
Ni kweli kabisa. Hiyo mijizi ilikuwa imeshauza kipande cha Bagamoyo kwa Wachina na Waoman. Magufuli mzalendo wa kweli tunakuamini. Kanyaga twende.

Hana uzalendo wowote zaidi ya kuwa msaka sifa. Aweke mkataba wazi na tuone hatua zikichukuliwa kwa wote walioingia huo mkataba. Siku hizi hamna wajinga wa kuhadithiwa tena.
 
najua mh rais kama mkuu wa nchi anayo mamlaka ya kuingia mikataba kwa niaba ya nchi, lakini kama JPM ni mzalendo kweli abadilishe huo utaratibu mikataba ya kiuchumi/uwekezaji iwekwe wazi na ijadiliwe na bunge, hii itasaidia hata yeye akiondoka tusiibiwe tena, kinyume na hapo wote wanakua ni wazugaji tu, sisi tutajuaje kuwa tunaibiwa? mpaka Lissu aseme?
Wabunge wetu hawaaminiki kabisa. Si wa upinzani si wa chama tawala. Mradi mkubwa kama huyo wa Bagamoyo ni rahisi sana mchina kutembeza hongo kwa robo tatu ya wabunge na wakamwachia kiulani. Ni kweli mikataba inatakiwa iwe wazi lakini namna ya kuupitia na kuupitisha inatakiwa tutafute njia nzuri ili kuzuia rushwa.
 
Back
Top Bottom