Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,395
- 9,764
Kijana Machachari wa South Africa ameichana chana nchi yake kwa kuwaita watawala wajinga baada ya kuuza Bandari ya Durban kwa tamaa ya Pesa tu na haukuna kingine ikipita miaka kadhaa tunasema tumetawaliwa..
Viongozi wabovu wanashindwa kuongoza nchi wanaharibu mali za nchi kwa kulindwa kisha wanasingizia hatuwezi kujiongoza wanawapa wageni kila kitu ili wapate pesa na waendelee kuenjoy matunda ya nchi.. Wanauza nchi kwa highest bidder.
Amesema ule wimbo wa ua makaburu ua Wakulima wazungu sio kosa bali ni jumbe wa wanyonyaji wa wananchi... sasa CCM jiangalieni ondosheni majizi yote chamani majizi yasiyo na faida kazi yao chamani ni kuleta mawazo ya kuumiza wananchi tu kama kuongeza kodi kuweka matozo kila nyanja za fedha wanawaletea adhaa raia wapole... Kama utawala huu una akili waende China na waombe kuendesha Airport ya Shanghai na waambie Wachina kuwa Uongozi wa Tz utawaongezea mapato mengi yanayopotea pale airport China..
Tunauza Utu wetu kwa pesa.. Walaaniwe.
Tanzania tunahitaji tufufue Mashirika yetu kisha kuweka sheria kali kwa atakayeleta upuuzi ikiwezekana adhabu ya kunyonga kama China tuone kama kuna kitu kitakufa au mjinga atakaye hubiri uwekezaji
Viongozi wabovu wanashindwa kuongoza nchi wanaharibu mali za nchi kwa kulindwa kisha wanasingizia hatuwezi kujiongoza wanawapa wageni kila kitu ili wapate pesa na waendelee kuenjoy matunda ya nchi.. Wanauza nchi kwa highest bidder.
Amesema ule wimbo wa ua makaburu ua Wakulima wazungu sio kosa bali ni jumbe wa wanyonyaji wa wananchi... sasa CCM jiangalieni ondosheni majizi yote chamani majizi yasiyo na faida kazi yao chamani ni kuleta mawazo ya kuumiza wananchi tu kama kuongeza kodi kuweka matozo kila nyanja za fedha wanawaletea adhaa raia wapole... Kama utawala huu una akili waende China na waombe kuendesha Airport ya Shanghai na waambie Wachina kuwa Uongozi wa Tz utawaongezea mapato mengi yanayopotea pale airport China..
Tunauza Utu wetu kwa pesa.. Walaaniwe.
Tanzania tunahitaji tufufue Mashirika yetu kisha kuweka sheria kali kwa atakayeleta upuuzi ikiwezekana adhabu ya kunyonga kama China tuone kama kuna kitu kitakufa au mjinga atakaye hubiri uwekezaji