Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
Wanabodi JF.
Mie sio mwenyeji sana huku nimeona nije nipate michango yenu kutoka kwenu wadau wa MMU.
Kuna rafiki yangu wa karibu mke wake anafanya kazi benki mmoja maeneo ya posta mpya, mara nyingi anafanya kazi mpaka mida ya saa mbili usiku (part time).
Shughuli zake za kibenki zipo ghorofa ya saba ndio kuna ofisi yake, wakati anatoka kazini mida ya saa mbili usiku huwa anapanda lifti na mmoja wa mfanyakazi mwenzake wa kiume, mida hiyo ofisi zote zimefungwa kwenye jengo hilo.
Kinachofanyika kwenye lifti ni kunyonyana ndimi na kufanya machafu, tuna rafiki yetu pale kwenye hilo jengo yupo kitengo cha CCTV Control room ambaye ndio kanionyesha shemeji yetu anavyofanya uchafu huo.
Bahati mbaya rafiki yetu ambae mwenye mke kaambiwa lakini hataki kuona hizo picha za video za mke wake akifanya uchafu kwenye lift.
Hii story ni ya kutengeneza! Kwenye lift hakuna camera za Closed Circuit Televison(CCTV)! Hizo Camera za CCTV zinaongelewa kama kitu cha ajabu vile, mbona huwa zinaonekana tu! Mara nyingi ziko kwenye lift lobbies(mbele ya ule uwazi kabla hujaingia kwa lift), ama kwenye entrance lobbies na hata chooni hakuna cemera! Kama umeoneshwa hiyo crip ya video ni baada ya kutoka kwa lift ama wakiagana lift kabla haijafungwa but not inside the lift!
Eti kwenye lift hakuna camera
Usilazimishe unachokitaka wewe kiwe kweli! Umegoogle image majengo ya nje unaonesha CCTV camera, nimekwambia kwamba I know about Lift surveillance cctv camera, na hii ni fani yangu, na ndio maana nikakuomba utupe ushahidi wa majengo ya hapa bongo yenye CCTV camera kwenye lift? Soma comments zangu to the dot mkuu! Mbona hutaki kukiri kwamba story yako ni ya kusadikika tu?
Wanabodi JF.
Mie sio mwenyeji sana huku nimeona nije nipate michango yenu kutoka kwenu wadau wa MMU.
Kuna rafiki yangu wa karibu mke wake anafanya kazi benki mmoja maeneo ya posta mpya, mara nyingi anafanya kazi mpaka mida ya saa mbili usiku (part time).
Shughuli zake za kibenki zipo ghorofa ya saba ndio kuna ofisi yake, wakati anatoka kazini mida ya saa mbili usiku huwa anapanda lifti na mmoja wa mfanyakazi mwenzake wa kiume, mida hiyo ofisi zote zimefungwa kwenye jengo hilo.
Kinachofanyika kwenye lifti ni kunyonyana ndimi na kufanya machafu, tuna rafiki yetu pale kwenye hilo jengo yupo kitengo cha CCTV Control room ambaye ndio kanionyesha shemeji yetu anavyofanya uchafu huo.
Bahati mbaya rafiki yetu ambae mwenye mke kaambiwa lakini hataki kuona hizo picha za video za mke wake akifanya uchafu kwenye lift.
Aseee.........hii inaitwa attention to detail when scrutinising an incidence!!
unaweka kwenye halisia, then unaweka ideal time..........taken the circumstances zinaruhusu.
balaa hili!!!!
Acha uongo wewe kwa hiyo wewe kwa hiyo majengo yote ya Dar es Salaam wewe ndio unafunga CCTV ha haa haa haaa! Watanzania kwa uongo bana.
Kuna jengo Tandale ngoja liishe takupa kazi bingwa wangu wa CCTV Camera Tanzania nzima.Mimi nimesema wapi kwamba ndio nafunga hizo CCTV Cameras? Do not beat around the bush and dwell on talking the talk!! Tetea hoja yako! Ijenge iwe na mashiko! Hapa ni kwa Great Thinkers, we don't just swallow whatever posted!
Nashukuru umekubali kushindwa japo kiubishi ubishi! Mara nyingine ukija hapa uje umejiandaa mkuu! NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK!Kuna jengo Tandale ngoja liishe takupa kazi bingwa wangu wa CCTV Camera Tanzania nzima.
Sasa wewe inakuhusu nini kama mwenye mke hataki we kinachokuuma nini,kama uliuomba akakunyima ndo maana umeamua umuanike humu JF,haitakusaidia hii we dili na mkeo,labda uwezi jua jamaa kashazoe na mama ndo anatoa matumizi we unataka umuaribie, MTU MZIMA KUWA MBEA HAIPENDEZI,UTAVALISHWA GAUNI WEWE
@katikomile,
hebu tugagadulie ni kipi kitachofanya elevetor isiwe na cctv?? Huenda una hoja ila hujanguka. kumbuka elimu ni kusaidia jamii sio kwa ajili ya tambo.
Sasa wewe inakuhusu nini kama mwenye mke hataki we kinachokuuma nini,kama uliuomba akakunyima ndo maana umeamua umuanike humu JF,haitakusaidia hii we dili na mkeo,labda uwezi jua jamaa kashazoe na mama ndo anatoa matumizi we unataka umuaribie, MTU MZIMA KUWA MBEA HAIPENDEZI,UTAVALISHWA GAUNI WEWE
Hii story ni ya kutengeneza! Kwenye lift hakuna camera za Closed Circuit Televison(CCTV)! Hizo Camera za CCTV zinaongelewa kama kitu cha ajabu vile, mbona huwa zinaonekana tu! Mara nyingi ziko kwenye lift lobbies(mbele ya ule uwazi kabla hujaingia kwa lift), ama kwenye entrance lobbies na hata chooni hakuna cemera! Kama umeoneshwa hiyo crip ya video ni baada ya kutoka kwa lift ama wakiagana lift kabla haijafungwa but not inside the lift!
Hii story ni ya kutengeneza! Kwenye lift hakuna camera za Closed Circuit Televison(CCTV)! Hizo Camera za CCTV zinaongelewa kama kitu cha ajabu vile, mbona huwa zinaonekana tu! Mara nyingi ziko kwenye lift lobbies(mbele ya ule uwazi kabla hujaingia kwa lift), ama kwenye entrance lobbies na hata chooni hakuna cemera! Kama umeoneshwa hiyo crip ya video ni baada ya kutoka kwa lift ama wakiagana lift kabla haijafungwa but not inside the lift!