Nimesikitishwa sana baada ya kuona kwenye CCTV vitendo alivyofanya shemeji yangu.

Wanabodi JF.

Mie sio mwenyeji sana huku nimeona nije nipate michango yenu kutoka kwenu wadau wa MMU.

Kuna rafiki yangu wa karibu mke wake anafanya kazi benki mmoja maeneo ya posta mpya, mara nyingi anafanya kazi mpaka mida ya saa mbili usiku (part time).

Shughuli zake za kibenki zipo ghorofa ya saba ndio kuna ofisi yake, wakati anatoka kazini mida ya saa mbili usiku huwa anapanda lifti na mmoja wa mfanyakazi mwenzake wa kiume, mida hiyo ofisi zote zimefungwa kwenye jengo hilo.

Kinachofanyika kwenye lifti ni kunyonyana ndimi na kufanya machafu, tuna rafiki yetu pale kwenye hilo jengo yupo kitengo cha CCTV Control room ambaye ndio kanionyesha shemeji yetu anavyofanya uchafu huo.

Bahati mbaya rafiki yetu ambae mwenye mke kaambiwa lakini hataki kuona hizo picha za video za mke wake akifanya uchafu kwenye lift.

Aliyekwambia denda ni uchafu nani?

Huyo mwanamke atakuwa ni mmoja wa wanachama hai wa MMU, kwa hiyo subiri matusi. Hawa watoto ndio zao, turudi zetu kwenye siasa. Hapa wanafundishana hadi kutoka nje ya ndoa zao.
 
Ndoa, ndoano... Jamaa hataki kujua. Kinachofuata hapo atalaumiwa mtoa habari wao watamalizana kwa bed
 
Makosa ni yako Ritz na huyo rafiki yako,mngetafuta namna ya kumkanya huyo shemeji yenu si kupeleka umbea moja kwa moja kwa mumewe. KINGA NI BORA KULIKO TIBA
 
Hahaaaaaa ritz na wewe ushaanza mambo ya shigongo?

diana40310_468x340.jpg

Kuna mtu kasema eti kwenye lift hakuna CCTV Camera
 
Hii story ni ya kutengeneza! Kwenye lift hakuna camera za Closed Circuit Televison(CCTV)! Hizo Camera za CCTV zinaongelewa kama kitu cha ajabu vile, mbona huwa zinaonekana tu! Mara nyingi ziko kwenye lift lobbies(mbele ya ule uwazi kabla hujaingia kwa lift), ama kwenye entrance lobbies na hata chooni hakuna cemera! Kama umeoneshwa hiyo crip ya video ni baada ya kutoka kwa lift ama wakiagana lift kabla haijafungwa but not inside the lift!

01.jpg

Eti kwenye lift hakuna camera
 
01.jpg

Eti kwenye lift hakuna camera

Usilazimishe unachokitaka wewe kiwe kweli! Umegoogle image majengo ya nje unaonesha CCTV camera, nimekwambia kwamba I know about Lift surveillance cctv camera, na hii ni fani yangu, na ndio maana nikakuomba utupe ushahidi wa majengo ya hapa bongo yenye CCTV camera kwenye lift? Soma comments zangu to the dot mkuu! Mbona hutaki kukiri kwamba story yako ni ya kusadikika tu?
 
Usilazimishe unachokitaka wewe kiwe kweli! Umegoogle image majengo ya nje unaonesha CCTV camera, nimekwambia kwamba I know about Lift surveillance cctv camera, na hii ni fani yangu, na ndio maana nikakuomba utupe ushahidi wa majengo ya hapa bongo yenye CCTV camera kwenye lift? Soma comments zangu to the dot mkuu! Mbona hutaki kukiri kwamba story yako ni ya kusadikika tu?

Acha uongo wewe kwa hiyo majengo yote ya Dar es Salaam wewe ndio unafunga CCTV ha haa haa haaa! Watanzania kwa uongo bana.
 
Wanabodi JF.

Mie sio mwenyeji sana huku nimeona nije nipate michango yenu kutoka kwenu wadau wa MMU.

Kuna rafiki yangu wa karibu mke wake anafanya kazi benki mmoja maeneo ya posta mpya, mara nyingi anafanya kazi mpaka mida ya saa mbili usiku (part time).

Shughuli zake za kibenki zipo ghorofa ya saba ndio kuna ofisi yake, wakati anatoka kazini mida ya saa mbili usiku huwa anapanda lifti na mmoja wa mfanyakazi mwenzake wa kiume, mida hiyo ofisi zote zimefungwa kwenye jengo hilo.

Kinachofanyika kwenye lifti ni kunyonyana ndimi na kufanya machafu, tuna rafiki yetu pale kwenye hilo jengo yupo kitengo cha CCTV Control room ambaye ndio kanionyesha shemeji yetu anavyofanya uchafu huo.

Bahati mbaya rafiki yetu ambae mwenye mke kaambiwa lakini hataki kuona hizo picha za video za mke wake akifanya uchafu kwenye lift.

Hivi ukiwa kwenye CCTV ndiyo unayo ruhusa ya kutoa nje siri za watu? Habari za wapenzi wawili kulana denda kwenye lift zinamhusu nini controller wa CCTV? Ni kazi yake kuangalia madenda ya watu au kuchunguza usalama wa humo? Au aliombwa mzigo akanyimwa? Kwa hiyo analipiza? Hiyo video ikiathiri ndoa yake, huyo dada aende mahakamani, kushitaki kwa kuingiliwa privacy yake.
 
Acha uongo wewe kwa hiyo wewe kwa hiyo majengo yote ya Dar es Salaam wewe ndio unafunga CCTV ha haa haa haaa! Watanzania kwa uongo bana.

Mimi nimesema wapi kwamba ndio nafunga hizo CCTV Cameras? Do not beat around the bush and dwell on talking the talk!! Tetea hoja yako! Ijenge iwe na mashiko! Hapa ni kwa Great Thinkers, we don't just swallow whatever posted!
 
kama mume wake hasemi kitu why do we bla bla bla on the issue? Plus who among us can point the finger to her, while three fingers are pointing back to us? Think about it...
 
Mimi nimesema wapi kwamba ndio nafunga hizo CCTV Cameras? Do not beat around the bush and dwell on talking the talk!! Tetea hoja yako! Ijenge iwe na mashiko! Hapa ni kwa Great Thinkers, we don't just swallow whatever posted!
Kuna jengo Tandale ngoja liishe takupa kazi bingwa wangu wa CCTV Camera Tanzania nzima.
 
Kuna jengo Tandale ngoja liishe takupa kazi bingwa wangu wa CCTV Camera Tanzania nzima.
Nashukuru umekubali kushindwa japo kiubishi ubishi! Mara nyingine ukija hapa uje umejiandaa mkuu! NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK!
 
@Katikomile,
Hebu tugagadulie ni kipi kitachofanya elevetor isiwe na CCTV?? huenda una hoja ila hujafunguka. Kumbuka elimu ni kusaidia jamii sio kwa ajili ya tambo.
 
Sasa wewe inakuhusu nini kama mwenye mke hataki we kinachokuuma nini,kama uliuomba akakunyima ndo maana umeamua umuanike humu JF,haitakusaidia hii we dili na mkeo,labda uwezi jua jamaa kashazoe na mama ndo anatoa matumizi we unataka umuaribie, MTU MZIMA KUWA MBEA HAIPENDEZI,UTAVALISHWA GAUNI WEWE

hii sio sawa mkuu maana mshkaji kaomba ushauri,iweje umshambulie kiasi hicho au nyie ndo mna wa** kwenye izo lifti,sio lzm uchangie
 
@katikomile,
hebu tugagadulie ni kipi kitachofanya elevetor isiwe na cctv?? Huenda una hoja ila hujanguka. kumbuka elimu ni kusaidia jamii sio kwa ajili ya tambo.

hizo tambo zangu ziko wapi? Wabongo bwana? Na wapi nimesema elevator haiwezi kuwa na cctv? Au umekurupuka na lako jambo mkuu?
 
Sasa wewe inakuhusu nini kama mwenye mke hataki we kinachokuuma nini,kama uliuomba akakunyima ndo maana umeamua umuanike humu JF,haitakusaidia hii we dili na mkeo,labda uwezi jua jamaa kashazoe na mama ndo anatoa matumizi we unataka umuaribie, MTU MZIMA KUWA MBEA HAIPENDEZI,UTAVALISHWA GAUNI WEWE

nahis km kuna ka ukweli kwa mbaali
 
Hii story ni ya kutengeneza! Kwenye lift hakuna camera za Closed Circuit Televison(CCTV)! Hizo Camera za CCTV zinaongelewa kama kitu cha ajabu vile, mbona huwa zinaonekana tu! Mara nyingi ziko kwenye lift lobbies(mbele ya ule uwazi kabla hujaingia kwa lift), ama kwenye entrance lobbies na hata chooni hakuna cemera! Kama umeoneshwa hiyo crip ya video ni baada ya kutoka kwa lift ama wakiagana lift kabla haijafungwa but not inside the lift!

umefikiria au ni unajua lifti zote hapa duniani kuwa kazina cctv?

acha kuongea pumba wewe.
 
Hii story ni ya kutengeneza! Kwenye lift hakuna camera za Closed Circuit Televison(CCTV)! Hizo Camera za CCTV zinaongelewa kama kitu cha ajabu vile, mbona huwa zinaonekana tu! Mara nyingi ziko kwenye lift lobbies(mbele ya ule uwazi kabla hujaingia kwa lift), ama kwenye entrance lobbies na hata chooni hakuna cemera! Kama umeoneshwa hiyo crip ya video ni baada ya kutoka kwa lift ama wakiagana lift kabla haijafungwa but not inside the lift!

ndugu haya maneno yako ni sehemu zote ama specific mahala fulani.km ni sehemu zote ni uongo coz we nenda pale regency hotel ukafanye utumbo wako choon kama hajaonekana.
 
Back
Top Bottom