FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,083
- 40,735
Katika siku za karibuni nimeanza kuona utitiri wa vibarua wakipigika vilivyo kama siafu pale site ya ujenzi wa barabara za juu Ubungo (Ubungo Flyover), ongezeko hili la kasi limetokea ghafla sana.
Je, kuna deadline wanaiwahi au ni nini?
Je, kuna deadline wanaiwahi au ni nini?