Nimeshuhudia shem akisaliti


Nimekuelewa Sana mydia acha niangalie yangu
 
Last edited by a moderator:
mmhhhh kweli kaz ipo,ningekuwa mimi ningemwambia shemeji kitu anachokifanya si kizuri hata kidogo
 
Una uhakika gani kuwa dada yako hajui kama mme wake anatabia ya kuchepuka!
Ina wezekana analijua hilo na amenyuti...Wewe kumueleza inaweza mlazimisha achukue hatua fulani ili asionekane "Boya" kwenu. Kwa maana hiyo. ni wazi wewe ndiyo utakua chanzo cha yote.
Kaa kimya, subiri ndoa yako upambane nayo (katika ndoa kuna mengi zaidi ya haya)
 
Na wewe unamjua dada ako yukoje kama sio mchepuko nae?
 
Pole shoga ila ucjaribu kumwambia ur systr utaharibu ndoa ya w2 bure!
 
That's none of your business. Kua kwanza Uwe na kwako kisha ujipime kama uko na ujasiri wa kumwambia. Inakuuma wewe ndie umeolewa? Ukimwambia dada yako wakaachana unakuwa umepata faida gani? Bado mtoto, kua kwanza uolewe.

Amsubirie tuu hadi sista wake apelekewe ngoma ....halaf aje amwambie 'nilikua namuonaga shemeji akichepuka'....atapata faida hapo!!
 
Ndio maana mnaambiwa msiwe mwaenda hukl club, mie nikuoe afu upeleke vimiguu huko mbona nitavikata
 
ya ngoswe mwachie ngoswe yasije yakawa makubwa kulioko hayo uliyo yaona potezea achana nayo ,, tena ukimwambia dada ako atakuona mshamba kweli unataka kumvunjia mji,, kausha tena kimya nisisikie tena mchepuko saa nyingine hauepukiki utaja ona hata wewe
 

Mmmmm! Utakuja kuwaharibia,kilicho bora ni kumwita Shem wako umweleze tu na sio sister wako! Tumia Uungwana ktk kutatua hilo!
 
Watu wengine bana! Mimi nilikuwepo kwenye hiyo club. Wewe ndo ulikuwa unakiss na shemejio. Usitake kupoteza maboya ili dadako akijua asikusulubu!
 
Watu wengine bana! Mimi nilikuwepo kwenye hiyo club. Wewe ndo ulikuwa unakiss na shemejio. Usitake kupoteza maboya ili dadako akijua asikusulubu!

Teh teh ulikuwa unakunywa bia gan
 

Wewe club ulikuwa na nani..? Hapa lazima uje kuharibu ndoa ya dada yako..! Sio kwa kumsemea shemeji..! hataaaa..! bali kwa kutembea naye..! tena ningekuwa mimi ningeanzia hukohuko ila yeye anavuta subira kwanza...niamini na ukibisha subiri uone kinachokuja..! Pengine alikuwa anakuheshimu ila hali aliyokuona nayo pale club lazima ajenge mtazamo mwingine..! get prepared to be tongozwaring..!
 
Napata hard time sana of course inaniuma pia
akisema umejitongozesha kwake, kakutolea nje sasa unataka kuharibu itakuwaje kwako,,,,mwache dadako ajibebee kapu lake......anapunguza streess za dadako.....kula bata zako jikate......umbea nooo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…