Habari zenu wana MMU,
Mimi nimekuwa nikisoma tu vile mnashauri watu na mimi ni mgeni humu naamini mtanipa ushirikiano. Jana nilienda club ile tupo na dance nikamuona shemeji yangu yupo na gal mwingine karibu kabisa na nilipokuwa mimi.
Baada ya kuniona aliogopa kabisa mimi nikamsalimia nikafanya kama hakijatokea kitu. Niliumia kuona yupo anakiss na demu mwingine wakati ana wife Yake!
Nafikiri nimwambie my sister lakini naogopa ntaaribu ndoa yao nafikiri pia nimwambie shem vile sikupenda aache michepuko.
Naomba mnijuze wadau nimweleze my sista?
Mimi nimekuwa nikisoma tu vile mnashauri watu na mimi ni mgeni humu naamini mtanipa ushirikiano. Jana nilienda club ile tupo na dance nikamuona shemeji yangu yupo na gal mwingine karibu kabisa na nilipokuwa mimi.
Baada ya kuniona aliogopa kabisa mimi nikamsalimia nikafanya kama hakijatokea kitu. Niliumia kuona yupo anakiss na demu mwingine wakati ana wife Yake!
Nafikiri nimwambie my sister lakini naogopa ntaaribu ndoa yao nafikiri pia nimwambie shem vile sikupenda aache michepuko.
Naomba mnijuze wadau nimweleze my sista?