Tatigha
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 1,957
- 2,012
Ukitahiriwa hospital wanakuridia tena kwenye kisu....! Hahaha ahaaa Kaka angu naye kafanyiwa hiyo kituNi kawaida yao, Mdogo wangu waliwahi kutahiriwa mara mbili.
Wakurya ndivyo walivyo na hawatakuja kubadilika maana ni desturi yao.