Neurologist
JF-Expert Member
- Nov 5, 2020
- 518
- 1,295
You are right, wanawake mpaka ukute anacheat basi huyo sijui ni amezibuka au ni kitu gani, tuna kamshipa flani hivi ka aibu au nafsi inakushtakimwambie mkeo aongee na mdogo wake,kipi wifi yake anakikosa kwake?? wanawake sisi ni baadhi yetu tu ndio huwa tunachiti wengi ni wavumilivu ndoani,LOL...we always want to feel SEXY,LOVED AND WANTED...hii ni CONSTANTLY ..sasa kuna kitu kinamiss hapo...mwambie mkeo aongee na mdogo wake..LOL
Cha msingi, azungumze na wifi yake kwa lugha ambayo ni positive, halafu majibu ya wifi yatampa maamuzi ya either kumshirikisha mdogo wake au la