Cos101
JF-Expert Member
- Sep 16, 2020
- 446
- 1,015
Sawa mkuu, kila mtu ana namna anavyofikiri na kukabili na kutatua mambo tunayokutana nayo, mleta mada atachambua na kuona njia ipi inafaa na kuitumia.Mambo mengine hupaswi kuyafuata hivyo,uongo unaruhusiwa katika mazingira kama haya,waongee na binti response yake ndiyo iwe hukumu yake,messeji isifutwe kama ushaidi na awekwe wazi kuwa haifutwi.