VOICE OF MTWARA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 2,779
- 1,369
hana jipya amebaki kuimba "alimselema hadija......ccm selemaaa as if ni wimbo wa taifa au ndio sera ya chama chao
na tutaibiwa kimya kimya...
Mgiriki....mimi nahishimu mawazo yako.Kama nambar one aliona Magufuli ni nyenzo safi ya kufanya kazi,ni kitu gani kilimfanya asimpe u waziri mkuu hasa pale kauli ya piga tu ilipotolewa.....???na baadae aje amteuwe kupeperusha bendera ya Chama tawala kama alivyofanya.Unajuwa kumuacha Pinda na Bilal bado kuna ma alama mengi ya kuuliza.Je nitakuwa sahihi kusema CCM haijafanya chochote tanga tupate uhuru kwa sababu tingatinga lilikuwa halipo...sasa limepatikana tuna anza moja. ...baada ya miaka 50,kweli tutafika....???? Marando hebu ingia hapo mahakamani tuone matokeo yake.
Kweli unahitaji ongeza uwezo wako wa kufikiri, unapotuma maombi ya kazi huwa unaenda tangazia umati kwamba umeomba kazi? Ila unapoipata ile kazi waliokuajiri ndio wanaokuzungusha ndani ya ofisi na wadau wa nje kukutambulisha. Kwani ulidhani maana ya kutambulishwa kwa wananchi ni nini? Ulitaka akipata uraisi nao atumikie kimya kimya? Kama huwezi fikiria mbele ya hapo basi hata kwa picha hutaelewa. Tuendelee, ukawa mtakuna sana vichwa mwaka huu.
mkuu kwan mtu anayetakiwa kupeperusha bendera lazma awe wazir mkuu au makam wa raisi?
Utambue kuwa anayechagua mtu wa kupeperusha bendera sio raisi bali ni ile kamat yao.
Sasa wao waliona mzee wa pwan kaboronga ikabidi waangalie ni mtu yupi anayeweza kuivusha Tz hapa ilipo n mtu gani asiye na masihara ktk utendaji jibu likaja ndio huyo.
KIONGOZI:Unataka kuniaminisha kuwa Magufuli hakuwa chaguo la Mwenyekiti wa CCM.....
sasa kulikuwa na maana gani kutangaza kwenye mikutano kwamba nilichukua fomu kimyakimya?
haiwezekani wangetumika polisi kuwaleta zengwena sijui anajitambulisha au tayari anapiga kampeni....sidhani kama upinzani wakifanya hivi tume ya uchaguzi itakaa kimya.
na tutaibiwa kimya kimya...
mkuu unataka kujifanya hujui? Au unanidodosa tu kwakuwa upo upande wa pili?
Nimekulewa vizuri saana.Inaelekea tunaongea lugha moja au lugha zinazofanana kama kiarusha na kimasai au kichagga na kimeru au kipare na kitaita nk...nk
kwa hiyo kumbe hua mnaiba kimyakimya!
tunaenda na utaratibu wa KIMYA KIMYANimesikia umeandaliwa mkoa fulani utaiba kwa kelele?
Labda ni shabiki wa J Mo na Ngwair-kwani ni copy and paste ya wimbo wao: Kimya KimyaHabari Ndg wana jf.
Nimekuwa nafuatilia mikutano ya mgombea urais wa CCM ndugu Magufuli.Kila akipita kwenye mikutano yake utasikia "Nilichukua fomu kimya kimya, nilitangaza nia kimya kimya, nikarudisha fomu kimya kimya na nikatafuta wazamini kimya kimya." Hivi kwa kusema hivi anamaanisha nini?
Mbona sasa anatumia nguvu kubwa kujitambulisha!? Kwanini sasa asijitambulishe kimyakimya kama kweli anaamini kwenye ukimyakimya!? Kwenu wadau.