aliselema - khadija
kwa magufuli dah! bora ccm wangesimamisha jiwe.
hana jipya amebaki kuimba "alimselema hadija......ccm selemaaa as if ni wimbo wa taifa au ndio sera ya chama chao
haya wengne mibongo yenu ikishakiririshwa na akina Slaa mnaamini hao ndo wanajua kilakitu
pole sana.
acha dharau mkuu, huyo magufuli n sawa na baba yako au hata amemzidi sasa kwann unamtolea maneno ya dharau hayo wakat uwezo wa huyo baba yako anaweza kulishwa na tingatinga magufuli kwa miaka 20?
yule namhurumia ni JK type hawezi pambana na CHADEMA kwenye mdahalo hata siku mpja. Mdahalo lazima uwe unajua kupanga maneno yule hamna mpango wa maneno hata kidogo
Habari Ndg wana jf.
Nimekuwa nafuatilia mikutano ya mgombea urais wa CCM ndugu Magufuli.Kila akipita kwenye mikutano yake utasikia "Nilichukua fomu kimya kimya, nilitangaza nia kimya kimya, nikarudisha fomu kimya kimya na nikatafuta wazamini kimya kimya." Hivi kwa kusema hivi anamaanisha nini?
Mbona sasa anatumia nguvu kubwa kujitambulisha!? Kwanini sasa asijitambulishe kimyakimya kama kweli anaamini kwenye ukimyakimya!? Kwenu wadau.
yule namhurumia ni JK type hawezi pambana na CHADEMA kwenye mdahalo hata siku mpja. Mdahalo lazima uwe unajua kupanga maneno yule hamna mpango wa maneno hata kidogo