Nimeshindwa kuelewa kwanini niki-date na mwanamke anashindwa kunisahau? Ilinisumbua kupata mke

Ndiyo wewe ni msomi wa 'kiwangi' cha juu sana hilo liko wazi mkuu,

Wanawake wazuri sana hawataki kukuacha ni wewe,
Wanawake wanakutongoza sana Insta ni wewe,
Unahonga sana michepuko ni wewe,
Una mke mzuri sana JF nzima hakuna ni wewe,
Jamaa msomi sana ni wewe,
Unaye date wanawake wazuri sana na wengi sana ni wewe,
Mwanaume mwenye muonekano mzuri sana ni wewe,

Okay, tunashukuru sana kukufahamu mkuu..!
...'ni yeye'.?
 
Watu8 yule anayependwa na wanaInstagram amekuja tena na tangazo lake

Sema leo kaboresha kidogo..ameongeza kigezo kingine muhimu cha kuhonga sana

Niende Piem ama nisubiri aweke picha?

Hahah...zama piem Jo, picha haitawekwa kwa sababu atatongozwa sanaaaa na warembo wa jeiefu
 
Basi kitulize hicho
Ungeanza kukituliza wewe uliyetuletea hizi taqataqa zako hapa, una inferiority complex ndiyo maana una kazi ya kutafuta attention humu ndani.! Mpe joto wife huko hebu achana na anonymous wa mtandaoni.!
 
Ungeanza kukituliza wewe uliyetuletea hizi taqataqa zako hapa, una inferiority complex ndiyo maana una kazi ya kutafuta attention humu ndani.! Mpe joto wife huko hebu achana na anonymous wa mtandaoni.!
Naona una hasira sana, njoo basi na wewe nikupitie
 
Mkeo nakugongea kila jumatano yawiki la pili lamwezi na wikili lamwisho mwishoni mwamwezi ,anasema hunalolote ushukuru ulifoc ndoa kupitia rafiki ake
 
Kusubiri aweke picha haitakusaidia lolote,,, nenda mfuate PM...


Ame design vizuri kweli Kadi yake ya Mwaliko... Kazi kwenu
Hebu ngoja nikimbilie piem

Muhimu anahonga ni kweli picha haitanisaidia kitu
 
Back
Top Bottom