funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,650
- 21,522
jitahidi upige signature kwenye mbunye. Hiyo wiki tatu tu ya kumuwaza ni kipindi kirefuhii wiki ya tatu
jitahidi upige signature kwenye mbunye. Hiyo wiki tatu tu ya kumuwaza ni kipindi kirefuhii wiki ya tatu
Demu mwenyewe majanga, anadai mke wa mtu ila tunachati masaa 24, mara anipigie simu saa 7 usiku, siku nyingine saa 10 alfajiri yaani wiki tatu hizo mambo yaliotokea kama miaka mitatujitahidi upige signature kwenye mbunye. Hiyo wiki tatu tu ya kumuwaza ni kipindi kirefu
achana nae haraka sana mke wa mtu ni sumu. Mie nilidhani demu tu loose ballDemu mwenyewe majanga, anadai mke wa mtu ila tunachati masaa 24, mara anipigie simu saa 7 usiku, siku nyingine saa 10 alfajiri yaani wiki tatu hizo mambo yaliotokea kama miaka mitatu
Bora tu niwaite shemeji, sitosahau siku moja demu nieenda nae guest, kumbe hana mpango wa kunipa gemu. Siku hizi wana mitindo yao wanapaka tomato sauce halafu anakwambia nipo mwezini kama unabisha anazama akitoa mkono lazima uaangalie pembeni, kumbe tomato sauce
sio tu kutatuliwa marinda, kama mme wake akijua na kumuacha huyo mwanamke inaharibu sana ustawi wa familia ambayo wewe ndio utakuwa umesababisha malezi ya watoto yataharibika na kusababisha kizazi chenye chuki na maafa kwenye jamii. Dhambi ambayo utakuwa umesababisha weweNdio maana nimetuliza mpira, hakuna kitu naogopa kama kutatuliwa linda
Umenena mkuusio tu kutatuliwa marinda, kama mme wake akijua na kumuacha huyo mwanamke inaharibu sana ustawi wa familia ambayo wewe ndio utakuwa umesababisha malezi ya watoto yataharibika na kusababisha kizazi chenye chuki na maafa kwenye jamii. Dhambi ambayo utakuwa umesababisha wewe