hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,841
dah! mpaka nimeona aibu mimi aiseeHahahaaa hajajua namna ya kucheza na mwanamke
Akikua ataacha
dah! mpaka nimeona aibu mimi aiseeHahahaaa hajajua namna ya kucheza na mwanamke
Akikua ataacha
ahahahahaha halafu anakuambia yuko mbinguni? ahahahahaa...Blaza hujawahi kupakiwa tomato sauce katika K,
duh. yaani anajitoa ufahamu na anakubali kuingia kwenye chumba cha gesti hauzii huku anajua yupo period. na mimi najitoa ufahamu na muamba ruty.Bora tu niwaite shemeji, sitosahau siku moja demu nieenda nae guest, kumbe hana mpango wa kunipa gemu. Siku hizi wana mitindo yao wanapaka tomato sauce halafu anakwambia nipo mwezini kama unabisha anazama akitoa mkono lazima uaangalie pembeni, kumbe tomato sauce
Hahahaaa hajajua namna ya kucheza na mwanamke
Akikua ataacha
dah! mpaka nimeona aibu mimi aisee
Ukitaka kula lazima uliwe
tuma pesa...Yaani ishu nikwamba wakuu, tunapanga siku ya kukutana, siku moja kabla usiku ananipigia simu anasema hawezi kuja kwa sababu amaepata matatizo moja kati ya hayo hapo juu. Sasa nyinyi wataalam niambie nicheze mchezo gani hapo?
bet kaka...😀😀😀😀😀😀😀
Yaani nibet
haya bhana... utakosa vitu vizuri kwasababu ya elf kumi tuNilishabet sana nikapigwa, ndio maana nimeamua kunyoosha mikono
🙆🏽♂️🙆🏽♂️kaombwa elf 10 tu mpaka kaja kuianzishia thread... angeombwa laki? si angeenda kituo chochote cha polisi kilicho karibu nae
umenikumbusha kipindi nilipigwa buku 5 akidai nauli haaa haaa akataka tena nipiga nikambwambia akope akija nitamrejeshea haaaAsante ingawa safari hii sijapoteza