Uta Uta
JF-Expert Member
- Feb 2, 2016
- 3,740
- 8,765
Habari wana jamvi?
Wiki mbili nilikuwa natoka mkoa jirani, nilikaa na mdada mmoja.
Kwa kuwa mi domo zege ila nikaona leo ngoja nijitoe mhanga na demu akanielewa. Ila toka siku huyo hajanipa gemu kila siku matatizo tu mara amefiwa, mara mama yake anaumwa, mara mwanangu amelazwa, mara nani kapata ajali matukio yote hayo anasafiri mi sijampa chochote zaidi ya pole.
Siku moja nae akajitoa muhanga kwamba hana nauli ya kurudia na akirudi anataka afike kwangu tulalae wote, mi nikamtangazia dhiki kuliko ya kwake akabaki analalamika. Hadi leo ananitumia sms tu mie nimeuchuna naona anataka anipige tu.
Sasa mi natangaza wazi nishapigwa sana kipindi cha nyuma, unatoa hela papuchii hupati.
Kwa sasa utoe mzigo kwanza ndio upate sentii yangu
Wiki mbili nilikuwa natoka mkoa jirani, nilikaa na mdada mmoja.
Kwa kuwa mi domo zege ila nikaona leo ngoja nijitoe mhanga na demu akanielewa. Ila toka siku huyo hajanipa gemu kila siku matatizo tu mara amefiwa, mara mama yake anaumwa, mara mwanangu amelazwa, mara nani kapata ajali matukio yote hayo anasafiri mi sijampa chochote zaidi ya pole.
Siku moja nae akajitoa muhanga kwamba hana nauli ya kurudia na akirudi anataka afike kwangu tulalae wote, mi nikamtangazia dhiki kuliko ya kwake akabaki analalamika. Hadi leo ananitumia sms tu mie nimeuchuna naona anataka anipige tu.
Sasa mi natangaza wazi nishapigwa sana kipindi cha nyuma, unatoa hela papuchii hupati.
Kwa sasa utoe mzigo kwanza ndio upate sentii yangu