ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,554
- 3,750
muda unasubiri bei ishuke mara mtoto anaumwa mara michango ya harusi basi niweke benki au ktk simu mara tozo mara makato ya mwezi tunapigwa kotekote mkuu.
Zenji ni elfu 29-30 noma sana...mm 10 ndo 20 elfu.Hi ni wake up call ndhani tunaelekea kubaya zaidi tusiposhtuka mapema, nondo ya mm 12 ilikua 20k lakni leo ni 25-27k ndani ya muda mfupi sana
Mleta mada ameenda Kiwandani kakutana na bei mpya, wala usishangae. Wewe upo mkoani, hiyo ni akiba ya zamani, subiri yakiisha madukani ndo bei itapanda.Acha uongo mkuu kwamba pc 1=tsh.41,346? Kwamba bando 1 ni zaidi ya 600k? Mbona mkoani bei ni hiyo 27,000 kwa PC?
Bei alizotaja ni uongo ,bei halisi ni hizi hapa👇Mleta mada ameenda Kiwandani kakutana na bei mpya, wala usishangae. Wewe upo mkoani, hiyo ni akiba ya zamani, subiri yakiisha madukani ndo bei itapanda.
Na sababu za kupanda bei hizi hapa 👇Leo nimefanya window shopping kwenye moja ya kiwanda kikubwa cha mabati nimeshangazwa sana kukuta bati zimepanda bei sana! Sijui tunaelekea wapi na nn hatma ya hili.
Bati ya gauge 30 leo hi ni TZS 41,346 wakati miaka miwili nyuma bati hyo hyo ilikua TZS 27,000....Hata kama ni inflation hi kiboko na nadhani zitazidi kupanda.
Sawa
acha kua mbishi , malighafi zinatoka njecement kwa kiasi kikubwa tunazalisha hata mabati tunayo ya kwetu
Kwenye cement Hapana, Kinachotoka nje kwa viwanda vingi hapa TZ ni spare peke yake. Limestone etc vyote vipo hapa kwetu. Kuna baadhi ya viwanda huwa mara moja moja wanaagiza clinker kutoka nje (Twiga, camel etc). Na ndio maana katika huu mfumuko wa sasa wa bei Cement haijapanda bei. Ila mpaka January nina uhakika bei itapandaacha kua mbishi , malighafi zinatoka nje
bati,malighafi ni coil ,inatoka China na Japan
zile Aluminium blocks, zinatoka china na india
cement, malighafi ni limestone na marl, inatoka China
bila malighafi utazalisha mkojo
ah thubutu, kwenye makaratasi labda, MO yule pale, sukari anatoa njeLimestone etc vyote vipo hapa kwetu.
kituko cha karneCement haijapanda bei
Dar cement 14,500 kwa 15,000. Kwenu ngapi?kituko cha karne
Limestone kwa ajili ya cement iko hapa hapa TZ. Sasa wewe bisha tu!ah thubutu, kwenye makaratasi labda, MO yule pale, sukari anatoa nje
ilihali Tz kuna Kagera/Kilombero Sugar Co.
acha kua mbishi , malighafi zinatoka nje
bati,malighafi ni coil ,inatoka China na Japan
zile Aluminium blocks, zinatoka china na india
cement, malighafi ni limestone na marl, inatoka China
bila malighafi utazalisha mkojo
Leta bei ya leo ya kiwandani sio kipande cha gazeti tena kinachomnukuu unknown! Na tangu lini bati ya rangi ya gauge 30 iliwahigi kuuzwa 18,000? Umejenga kweli?
Bati Gauge 30, kwa mita ni 13782 kwabati lafutikumi aumitatatu ni 13782×3 = 41,000 duuuLeta bei ya leo ya kiwandani sio kipande cha gazeti tena kinachomnukuu unknown! Na tangu lini bati ya rangi ya gauge 30 iliwahigi kuuzwa 18,000? Umejenga kweli?
0752 290 043 namba hiyo ya Marketing stafff wa sunshare uliza uelimishwe!
Nmekuwekea na bei za bati hapo chini za mwezi Oktoba kutoka kiwandani.View attachment 2022079
Ngoja nichangamkie fursa. Nitafute mbegu za hizi nyasi za kuezekea nizioteshe kwa wingi 🤪Tutarudia kuezekea nyasi
Zenji ni elfu 29-30 noma sana...mm 10 ndo 20 elfu.