Nimeshangaa mchungaji Msigwa kushindwa kuhamasisha wamachinga wa Iringa kuchukua vitambulisho vya Mjasiriamali

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,925
141,891
Kiukweli Iringa ina wajasiriamalia wengi sana na kwa makadirio ya haraka wanazidi hata laki moja.
Kilichonishangaza ni kitendo cha mkoa wa Iringa kushika nafasi ya 23 kati ya mikoa 26 ikiwa imetoa takribani vitambulisho16000 kati ya vitambulisho 60000 walivyokabidhiwa.

Sasa mchungaji Msigwa ambaye ni mbunge maarufu wa Iringa ameshindwaje kuwashawishi wajasiriamali akishirikiana na RC Happi na DC Kasesela?!

Yaani mkoa wa Iringa umekuwa wa 3 kutoka mwisho!!!!

Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
 
Kiukweli Iringa ina wajasiriamalia wengi sana na kwa makadirio ya haraka wanazidi hata laki moja.
Kilichonishangaza ni kitendo cha mkoa wa Iringa kushika nafasi ya 23 kati ya mikoa 26 ikiwa imetoa takribani vitambulisho16000 kati ya vitambulisho 60000 walivyokabidhiwa.
Sasa mchungaji Msigwa ambaye ni mbunge maarufu wa Iringa ameshindwaje kuwashawishi wajasiriamali akishirikiana na RC Happi na DC Kasesela?!
Yaani mkoa wa Iringa umekuwa wa 3 kutoka mwisho!!!!
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Vitambulisho ni mradi wa magu na bashite
 
Hivyo ni vitambulisho au ni TIN number za walipa kodi za kichwa.

Uliona wapi kitambulisho hakina Picha, wala sahihi?
Hao wajasilia mali wanaweza kutumia "vitambulisho" hivyo kupata huduma kama za ki benki?
 
Hivyo ni vitambulisho au ni TIN number za walipa kodi za kichwa.

Uliona wapi kitambulisho hakina Picha, wala sahihi?
Hao wajasilia mali wanaweza kutumia "vitambulisho" hivyo kupata huduma kama za ki benki?
Ila ndio hao hao waliokuwa wanalalamika kusumbuliwa na mamlaka za miji kufanya biashara maeneo yasioruhusiwa kisheria.
 
Serkali hua haishindwi...
Waache hao shida na mateso ya machinger ndio mtaji wao..sasa umekawa
 
hela za kununua bombadia kwa cash zinatafutwa. kuna masoko leo kuna mzozo mkubwa wa hela ya usafi na ulinzi sababu zile 500 daily zilikuwa zinasaidia hayo
 
Acha porojo, Msigwa ni Mbuge wa Iringa mjini, Kwani Hujui kwani hayo majimbo mengine hayana mbunge wa kuhamasisisha mpka Msigwa?


Ukiambiwa hivyo vitambulisho vilivyotolewa kwa Iringa 70% vimetoka kwenye Jimbo la Msigwa utafanyaje? Na una ushahidi gani kama Iringa ina wamachinga 60 elfu?
Kiukweli Iringa ina wajasiriamalia wengi sana na kwa makadirio ya haraka wanazidi hata laki moja.
Kilichonishangaza ni kitendo cha mkoa wa Iringa kushika nafasi ya 23 kati ya mikoa 26 ikiwa imetoa takribani vitambulisho16000 kati ya vitambulisho 60000 walivyokabidhiwa.

Sasa mchungaji Msigwa ambaye ni mbunge maarufu wa Iringa ameshindwaje kuwashawishi wajasiriamali akishirikiana na RC Happi na DC Kasesela?!

Yaani mkoa wa Iringa umekuwa wa 3 kutoka mwisho!!!!

Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom