johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,527
Mara kwa mara nimekuwa nikitembelea mji wa Mpwapwa na Kibakwe kwa shughuli za kilimo lakini sijawahi kuona dalili za uwepo wa CHADEMA wilayani humo.
Leo nimeona mtandaoni kuwa polisi wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanachadema wa Mpwapwa waliokuwa wanawasindikiza wagombea wao kuchukua fomu.
Ndiposa najiuliza ugogoni kuna CHADEMA?
Nimeshangaa kiasi!
2020 Hakunaga kama Dkt. Magufuli!
Leo nimeona mtandaoni kuwa polisi wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanachadema wa Mpwapwa waliokuwa wanawasindikiza wagombea wao kuchukua fomu.
Ndiposa najiuliza ugogoni kuna CHADEMA?
Nimeshangaa kiasi!
2020 Hakunaga kama Dkt. Magufuli!