Mimi ni mwanaume wa miaka 29 nimekuwa na uhusiano na binti ambaye nimempa support sana tangu akiwa sekondari hadi sasa yupo chuo kikuu mwaka wa pili.Kuna kipindi aliwahi kunipa niongee na jamaa aliyedai anamsumbua,niliongea na yule jamaa na alikubali kuacha kumpigia bt jamaa alitoa matusi sana na kuamua kukata simu.Siku nyingine nilimwuliza vipi jamaa ameacha kukusumbua akasema ameacha na nisiwe na shaka lakini baada ya miezi mitatu niliona huyu mpenzi wangu amebadilika sana kwa kuwa na kauli mbovu na hata kupunguza mawasiliano nilipochunguza sana nimegundua ana uhusiano wa kimapenzi na yule jamaa.Nimepanga kumwuliza weekend hii lakini kiukweli imeniuma sana na kunikatisha tamaa sana maana nimedumu nae kwa miaka 3 na nilitarajia kuoa mwaka huu December lakini sidhani kama nitaendelea maana najiona nimedhalilishwa sana,ushauri please
Puuumbafuuuu, akili zimechoka saa hizi mtuhurumie nyi watoto mtatuuwa kwa pressure jamani vijana kazi yenu kulinda maboma sasa kwa mtindo huu nchi hii itasonga kweli?
Haya ushawahi kupiga kura nikushauri tatizo lako?
Jibu fastaaaa kabla sijakubaguwa!
Mimi ni mwanaume wa miaka 29 nimekuwa na uhusiano na binti ambaye nimempa support sana tangu akiwa sekondari hadi sasa yupo chuo kikuu mwaka wa pili.Kuna kipindi aliwahi kunipa niongee na jamaa aliyedai anamsumbua,niliongea na yule jamaa na alikubali kuacha kumpigia bt jamaa alitoa matusi sana na kuamua kukata simu.Siku nyingine nilimwuliza vipi jamaa ameacha kukusumbua akasema ameacha na nisiwe na shaka lakini baada ya miezi mitatu niliona huyu mpenzi wangu amebadilika sana kwa kuwa na kauli mbovu na hata kupunguza mawasiliano nilipochunguza sana nimegundua ana uhusiano wa kimapenzi na yule jamaa.Nimepanga kumwuliza weekend hii lakini kiukweli imeniuma sana na kunikatisha tamaa sana maana nimedumu nae kwa miaka 3 na nilitarajia kuoa mwaka huu December lakini sidhani kama nitaendelea maana najiona nimedhalilishwa sana,ushauri please
Ushauri wa bure kabisa,
Kama yupo tayari huyo ddmu usimuache muoe,ni ngumu sana mwanamke na mwanaume kukaa mda mrefu bila kupoza injini,fikiria nyege zilipompanda na wewe uko mbali angefanya nini?Pia hakuna msichana anaeweza kuwa na uvumilivu,sema wengi hufanya siri,na kosa alilofanya ni kukuonyesha kiburi,fimbo ya mbali haiuwi nyoka.
Hata ukioa mwingine nae ashagegedwa na wengine,hata mbelen mwanamke anaweza kukusaliti.
WAKATI NATOA MBINU HUKUNIELEWA.
demu wako anaenda chuo ama yupo chuo na wewe uko mbali nae KANDAMIZA MIMBA ili upate uhakika wa kuwa nae,mambo ya usaliti wa siri ni ya kawaida sema wengi huwa hatujui.
Mimi ni mwanaume wa miaka 29 nimekuwa na uhusiano na binti ambaye nimempa support sana tangu akiwa sekondari hadi sasa yupo chuo kikuu mwaka wa pili.Kuna kipindi aliwahi kunipa niongee na jamaa aliyedai anamsumbua,niliongea na yule jamaa na alikubali kuacha kumpigia bt jamaa alitoa matusi sana na kuamua kukata simu.Siku nyingine nilimwuliza vipi jamaa ameacha kukusumbua akasema ameacha na nisiwe na shaka lakini baada ya miezi mitatu niliona huyu mpenzi wangu amebadilika sana kwa kuwa na kauli mbovu na hata kupunguza mawasiliano nilipochunguza sana nimegundua ana uhusiano wa kimapenzi na yule jamaa.Nimepanga kumwuliza weekend hii lakini kiukweli imeniuma sana na kunikatisha tamaa sana maana nimedumu nae kwa miaka 3 na nilitarajia kuoa mwaka huu December lakini sidhani kama nitaendelea maana najiona nimedhalilishwa sana,ushauri please
Teh teh teh....ndo maana yake Kaizer alafu sasa hao aliowakubali mbona hakuambii?Kabla hujafanya maamuzi tafakari kwanza.
Jamaa kinachomuuma zaid ni pamoja na kugombana na mume mwenza.
So Kijana ampige chini sio