Baada ya kutumia jina la kuazima na avatar fake kwa muda mrefu nimeamua kujiunga kwa jina langu halisi. Nina sababu zangu binafsi zinazo nipeleka kubadilisha privacy yangu. Naomba ushirikiano toka kwa members wote. Asanteni
Baada ya kutumia jina la kuazima na avatar fake kwa muda mrefu nimeamua
kujiunga kwa jina langu halisi. Nina sababu zangu binafsi zinazo
nipeleka kubadilisha privacy yangu. Naomba ushirikiano toka kwa members
wote. Asanteni
Kwa kufanya maamuzi Maamuzi Magumu yako hiyo ni zaidi ya Raisi wetu Anavyoshindwa kufanya maamuzi Pokea Like yangu ambayo ni ya kwanza...kwako kwa jina lako halisi
Kwa kufanya maamuzi Maamuzi Magumu yako hiyo ni zaidi ya Raisi wetu Anavyoshindwa kufanya maamuzi Pokea Like yangu ambayo ni ya kwanza...kwako kwa jina lako halisi
Asante sana mkuu. Nadhani wakati umefika kwangu kuanza kutoa maoni kwa kutumia jina langu na picha yangu halisi. It is a storng message I want to send out there: I stand valiantly for my opinion