Nimerogwa na tiGO full LIMBWATA

Yaani buji!!unanifurahsha sn.
hapo juu jamaa wanasema hawakuelewi,wape ufafanuz bac.
 
miaka ile kulikuwa na wimbo unamaneno haya
"mazoeaa yanatabu,
ukikosaa ni adhabu,
anita ee mpenzi wang..."
 
Back
Top Bottom