Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,822
Jamani haya mapenzi nimeamini kuwa yanavunja mgongo.
Nashindwa kujielewa, ni limbwata gani nimepewa mwenzenu, kweli tiGO ni noma.
No network, no making calls, no sms services, not on air, yaani kero ni mwanzo hadi mwisho.
Najihisi nimelishwa limbwata, maana na kero zote nizipatazo, mimi bado nang'ang'ana nao tu.
Japani huyu pepo mchafu anayenishikilia na tigo kwa kweli anitoke, niweze hata kuhamia TTCL MOBILE.
Nashindwa kujielewa, ni limbwata gani nimepewa mwenzenu, kweli tiGO ni noma.
No network, no making calls, no sms services, not on air, yaani kero ni mwanzo hadi mwisho.
Najihisi nimelishwa limbwata, maana na kero zote nizipatazo, mimi bado nang'ang'ana nao tu.
Japani huyu pepo mchafu anayenishikilia na tigo kwa kweli anitoke, niweze hata kuhamia TTCL MOBILE.