Nimekuwa katika uhusiano kwa mwaka sasa na hatimaye nimeridhika na huyu binti awe mke wangu wa ndoa.
Naitaji nimvishe pete ya uchumba ingawaje sijamfahamisha itakuwa ni wakati gani.
1. Pete nzuri za kawaida naweza pata kwa tsh ngapi? nimeanda 100,000
2. Na kwa wale wa DSM ni wapi naweza zipata?
3. Je ni sahihi kum suprise ama nimtaarifu siku husika?
Hii nimeipanga iwe januari 15 2012
Naitaji nimvishe pete ya uchumba ingawaje sijamfahamisha itakuwa ni wakati gani.
1. Pete nzuri za kawaida naweza pata kwa tsh ngapi? nimeanda 100,000
2. Na kwa wale wa DSM ni wapi naweza zipata?
3. Je ni sahihi kum suprise ama nimtaarifu siku husika?
Hii nimeipanga iwe januari 15 2012