Binadamu kama binadamu hakamiliki by 100% ni kweli yapo mambo machache madogo madogo yanashindwa kukamilika kwa wakati lkn isichukuliwe kama ni nongwa ya "to be prepared for disappointment kwa kila jambo hapana!TUKIJENGE CHAMA CHETU TUKIKOSOE TUKIREKEBISHEAre you ready for dissapointments?
WAPO WATU WACHACHE NDANI CHAMA LABDA WANAWEZA KU SI SAFI BUT HAWAJAFIKIA UBAYA WA KUITWA "THEY'RE EVIL"ni chuki zinazopandikizwa na wajasiriamali ktk kivuli cha POLITICAL PARTYCCM is EVIL,CCM is ILLUMINATI,many cant see due to illeteracy and low IQ.
Nimerejea rasmi CCM baada ya kuridhishwa na jitihada mbalimbali zinazofanywa na uongozi wa chama hiki DUME ktk kuleta maendeleo ya kweli kwa mtanzania wa kawaida,Nimekosheka mno hasa na ujenzi wa miundombinu hasa mabarabara,maji,afya na elimu,Hakika wasiyoyaona haya kwa vyovyote watakuwa ni wanafiki wapenda shari na wasioitakia mema nchi yetu,WALE wote wanaounga mkono chama hiki makini au kusapoti CCM Tujumuike hapa tufikie elfu moja (1000) KWA PAMOJA TUWASHINDE WANAFKI NA WASIO NA SHUKRANI
uamuzi huu wa busara umenijia baada ya kupata dondoo chache za wajasiriamali hawa CDM Hakika USIPOLIJUA JAMBO NI KAMA USIKU WA KIZA KINENE awali nilikuwa cdm damu,KWELI MICHEPUKO HAIFAI NILIPOTEA LKN NIMEREJEA
Nimerejea rasmi CCM baada ya kuridhishwa na jitihada mbalimbali zinazofanywa na uongozi wa chama hiki DUME ktk kuleta maendeleo ya kweli kwa mtanzania wa kawaida,Nimekosheka mno hasa na ujenzi wa miundombinu hasa mabarabara,maji,afya na elimu,Hakika wasiyoyaona haya kwa vyovyote watakuwa ni wanafiki wapenda shari na wasioitakia mema nchi yetu,WALE wote wanaounga mkono chama hiki makini au kusapoti CCM Tujumuike hapa tufikie elfu moja (1000) KWA PAMOJA TUWASHINDE WANAFKI NA WASIO NA SHUKRANI
Nimerejea rasmi CCM baada ya kuridhishwa na jitihada mbalimbali zinazofanywa na uongozi wa chama hiki DUME ktk kuleta maendeleo ya kweli kwa mtanzania wa kawaida,Nimekosheka mno hasa na ujenzi wa miundombinu hasa mabarabara,maji,afya na elimu,Hakika wasiyoyaona haya kwa vyovyote watakuwa ni wanafiki wapenda shari na wasioitakia mema nchi yetu,WALE wote wanaounga mkono chama hiki makini au kusapoti CCM Tujumuike hapa tufikie elfu moja (1000) KWA PAMOJA TUWASHINDE WANAFKI NA WASIO NA SHUKRANI
uamuzi huu wa busara
umenijia baada ya kupata dondoo chache za wajasiriamali hawa CDM Hakika
USIPOLIJUA JAMBO NI KAMA USIKU WA KIZA KINENE awali nilikuwa cdm
damu,KWELI MICHEPUKO HAIFAI NILIPOTEA LKN NIMEREJEA
Huyaoni hayo maendeleo ndugu yangu? Barabara,shule,afya,maji n.k wamejitahidi japo najua still kuna mapungufu but ukisema hamna maendeleo ndg duh unakuwa umejitoa ufahamu!
Bajeti ya Tanzania trioni 19.85, ya Kenya sawa na Tshs 33 trioni. Tofauti ya trioni 12 wakati sisi tunaongoza kwa rasilimali zote. Unahitaji kuwa chizi kuunga mkono CCM kwa kweli.
Rudisheni zile billioni 20 alizokwapua singasinga na TANROADS majuziNimerejea rasmi CCM baada ya kuridhishwa na jitihada mbalimbali zinazofanywa na uongozi wa chama hiki DUME ktk kuleta maendeleo ya kweli kwa mtanzania wa kawaida,Nimekosheka mno hasa na ujenzi wa miundombinu hasa mabarabara,maji,afya na elimu,Hakika wasiyoyaona haya kwa vyovyote watakuwa ni wanafiki wapenda shari na wasioitakia mema nchi yetu,WALE wote wanaounga mkono chama hiki makini au kusapoti CCM Tujumuike hapa tufikie elfu moja (1000) KWA PAMOJA TUWASHINDE WANAFKI NA WASIO NA SHUKRANI
Hujui unachosema siku ufahamu ukikurudi utajitambua na kurudi njia kuu
Binadamu kama binadamu hakamiliki by 100% ni kweli yapo mambo machache madogo madogo yanashindwa kukamilika kwa wakati lkn isichukuliwe kama ni nongwa ya "to be prepared for disappointment kwa kila jambo hapana!TUKIJENGE CHAMA CHETU TUKIKOSOE TUKIREKEBISHE