Sawa mkuu! Ni mtazamo wako tu Iwapo Hilo ni jasho lake.
Wakuu za Asubuhi?
Nimepoteza simu yangu asubuhi hii. Msaada tafadhali !! Siku download app secure yoyote.
Nikipiga haipatikani tena.
Je naweza ipata kweli?
Kwanza pole, kuipata inawezekana bt uwe na no yake I mean uliyotengenezewa, au plan b angalia n mtandao upi ulikuwa unatumia ukiwaeleza huwa wanauwezo wa ku itrack, japo watakuuliza maswali machache...
Unaweza ipata nw dayz cm hzo watu hawaibi maana utakamatwa nayo tu..
Kwanza pole, kuipata inawezekana bt uwe na no yake I mean uliyotengenezewa, au plan b angalia n mtandao upi ulikuwa unatumia ukiwaeleza huwa wanauwezo wa ku itrack, japo watakuuliza maswali machache...
Unaweza ipata nw dayz cm hzo watu hawaibi maana utakamatwa nayo tu..
Kwanza pole, kuipata inawezekana bt uwe na no yake I mean uliyotengenezewa, au plan b angalia n mtandao upi ulikuwa unatumia ukiwaeleza huwa wanauwezo wa ku itrack, japo watakuuliza maswali machache...
Unaweza ipata nw dayz cm hzo watu hawaibi maana utakamatwa nayo tu..
Mkuu nikipiga Inaita. Hapo bado itakuwa Ngumu? Nimeipiga now ipo hewani.