Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,479
- 11,671
jipange ununue mpya ni hasara kama nyingine
nasikia polisi wanaouwezo wa kuipata ila hata wakiipata wakiipenda wanabaki nayo wenyewe kama wataipenda.
_situmii simu inayozidi laki na nusu kuondia stress
Mkuu nimeipiga Inaita bila kupokelewa
pole sana kaka, me natumia s3 naombeni msaada juu ya security application ambayo itaweza kunisaidia kama ikipotea.
Alieipata maombi yake yamejibiwa
Maombi yake kwa shetani labda, maana Mungu hawezi kubariki wizi.
Huyu kapoteza hajaibiwa....!!!
Pole,kupiteza simu ni A, ila kupoteza contacts inauma sana.