Ukiokota kitu kisichokuwa chako unatakiwa kukitangaza, asipotokea mtu kuki-claim within a stipulated time then aliekiokota anakuwa na haki ya kukitumia. Kuokota kitu ukakifanya ni chako straight away ni WIZI, period!
Nikitangaze wapi???wee ukiokota fuko la hela utatangaza??
Me niliokota wallet chuo tena darasan nikatangaza kilichotokea siji sahau!!!!
nasikia polisi wanaouwezo wa kuipata ila hata wakiipata wakiipenda wanabaki nayo wenyewe kama wataipenda.
_situmii simu inayozidi laki na nusu kuondia stress
Kama ulikuwepo vile!! Sina kawaida ya kuweka password kabisaa
Ha ha ha unamjambisha?...jamaa ana machungu ujue.Mbona haiingizi charge?
kama hukuweka mipassword mingi,anauwezo wa kupokea simu na kusoma sms?,na kama bado inaita nitumie namba yake tujaribu kitu..