madala mujipa
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 1,421
- 864
- Thread starter
- #121
Kila aungaye mkono mtu kuumizwa damu itamlilia pia,roho kwatu hapoSafi sana alichokufanyia huyo mchepuko
Kila aungaye mkono mtu kuumizwa damu itamlilia pia,roho kwatu hapoSafi sana alichokufanyia huyo mchepuko
Aksante mkuuajali kazini....pole sana mzee mwenzangu
mkuu kuchukua sheria mkononi si jambo jema mtaua jamaa zenu siku nyinginedaaaaah mkuu pole sana kumbe yule jamaa wa juzi tulimshushia kipigo takatifu ndio ulikua ww daaah
Sent using Jamii Forums mobile app
vyema mkuuMalipo ni hapa hapa duniani kila jambo lina mwisho wake ni vyema ukajikita njia kuu achana mpango wa kando....
Aksante sana mkuu dah nimekubali
Si mazuri ya kucheka
KabisaaaaaaMaombi ya mkeo yamejibiwa.
NimekupataBaki njia kuu
time will tell
Yaani unanikana kweupe mchana mbuzi anakula majani ujue niliofanyiwa sio mazuri
Ameshasema kwenye bandiko lake