Nimeponea chupuchupu kuuawa kwa mchepuko

Nimeponea chupuchupu kuuawa kwa mchepuko

Ili iweje kwa mfano nikujibu au mpaka nije pm kwako ushawahi ona nimeleta bango la kulialia apa au nahitaji msaada
Maana nawe nibinadamu yanaweza kukuta na yanawakuta wengi sana sema hawayasemi tu .sikua na maana mbaya.
 
Maono hayo rudi njia kuu mzee :mm nilikwenda kwa mchepuko nikawa nimepigwa mzingan nilipo jibu sna vumilia kidogo nikaambiwa nenda huko mke wako akakuvumilie
 
Si vizuri mkuu, kwenda kwenye nyumba ya mwanamke usiye na uhalali naye ni hatari sana.
Lolote laweza kutokea.
 
Back
Top Bottom