Nimepokea SMS hii nifanyeje?

Nimepokea SMS hii nifanyeje?

Niliingia ktk mahusiano na dada mmoja mwishon mwa november 2013 Baada ya yeye kumalza kdato cha nne,tulipendana sana naye alitokea kunpenda,,
Mwanzon mwa mwez wa 6 nikaamua kuachana nae kutokana na tabia yake kubadilika ghafla pia alianzisha uhusiano na mwalimu wake aliyemfundisha a_level,,.tangu mwez wa 6 hadi mwezi huu cjawah kuwasiliana nae.
Leo asubuhi nimepokea sms imeandikwa hivi TABU NINAYOPATA MIMI KAMA KWELI MI NIKAJIFUNGUA SALAMA WE JIANDAE KWENDA GEREZANI, NIMEVUMILIA SANA HADI SIKU YA LEO NINA UCHUNGU SANA,NILIKUWA NAKUFICHA LKN CJAZIONA FADHILA ZAKO Ushauri wako ni muhimu nianze wap niishie wap ili mambo yawe sawa maana haya ni majanga

Sijaelewa yaan msg ya dada huyo ndo hiyo mwez wa sita had huu wa tsa ni miez mitatu???? Sasa anajifungua lini
 
Sasa wewe siku zote hizo ulisubiri nini kufuta namba yake hadi kakutext ukamkumbuka
 
Mkuu hapo taabu utakayoipata ni bora mara 100000000000 unywe tu SUMU ufe kuliko yatakayo kukuta
 
Mkuu, inaonekana ukikikamata kijeba kinamsarandia mtoto wako unaweza kukiua!!

huyo ajiandae kuuza 0713 tu kaka, etna atembee na mafuta kabisaa! utakuta kijeba kabisa kinampigia misele mtoto mwenye umri wa kuwa mwanae...watoto waachwe wacheze wenyewe kwa wenyewe kibaba na mama, kisa cha kumharibu mtoto wangu nini!!
 
Hawa watoto hawa, yaani kidato cha nne, tayari anapigwa nao? tena unaweza kuta mleta mada hakukuta bikra pale! Dah, kaaz kwel kwel.
 
nawashukuru sana kwa mawazo yenu,,but bado ningependa kupata ushaur
 
Mpigie ujue anatabu gani na kwa nini uende gerezani...... tumoa condom unamwaga kama unaweka kwenye bakuli
 
kapimeni umri wa ujauzito coz inawezekana ikawa ya mwalimu au ikawa yako,mwisho wa siku mwanamke ndie mwenye uhakika wa aliyempa mimba

hata wanawake wenyewe hawajuagi wanabahatisha bahatisha!
 
vidole vyake vilikuwa vinamuandikia mwalimu msg,kichwa chake kilikuwa kinakuwaza wewe,wakati wa kutuma msg vidole vikachanganya vikatuma msg kwako,MSG SIO YAKO NI YA MWALIMU!
 
Niliingia katika mahusiano na dada mmoja mwishoni mwa November 2013 Baada ya yeye kumaliza kidato cha nne, tulipendana sana naye alitokea kunipenda.

Mwanzoni mwa mwezi wa 6 nikaamua kuachana naye kutokana na tabia yake kubadilika ghafla pia alianzisha uhusiano na mwalimu wake aliyemfundisha a_level tangu mwezi wa 6 hadi mwezi huu sijawahi kuwasiliana naye.

Leo asubuhi nimepokea sms imeandikwa hivi TABU NINAYOPATA MIMI KAMA KWELI MI NIKAJIFUNGUA SALAMA WE JIANDAE KWENDA GEREZANI, NIMEVUMILIA SANA HADI SIKU YA LEO NINA UCHUNGU SANA, NILIKUWA NAKUFICHA LAKINI CJAZIONA FADHILA ZAKO.

Ushauri wako ni muhimu nianze wapi niishie wapi ili mambo yawe sawa maana haya ni majanga.

usimjibu chochote maana msgs zitabak kama ushahidi.... alfu msikilizie uone atafanya nini....
 
Ukileta masikhara utaenda jela kirahisi tu,utakuta ni mzigo wa ticha ila kampanga tayari akomae na wewe kama vipi mtafute mpwa wangu uyajenge nae ujue kulikoni jitahidi kukumbuka mara ya mwisho mliunganisha vikojoleo vyenu lini ili upate pakuanzia.
 
hama mkoa kabisa..ila kaa ukijua milima hakutani ila binadamu tunakutana..
 
Sijui kama hii habari umeiandika vyema!
Hata hiyo SMS uliyo inukuu haijakaa vyema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom