Niliingia ktk mahusiano na dada mmoja mwishon mwa november 2013 Baada ya yeye kumalza kdato cha nne,tulipendana sana naye alitokea kunpenda,,
Mwanzon mwa mwez wa 6 nikaamua kuachana nae kutokana na tabia yake kubadilika ghafla pia alianzisha uhusiano na mwalimu wake aliyemfundisha a_level,,.tangu mwez wa 6 hadi mwezi huu cjawah kuwasiliana nae.
Leo asubuhi nimepokea sms imeandikwa hivi TABU NINAYOPATA MIMI KAMA KWELI MI NIKAJIFUNGUA SALAMA WE JIANDAE KWENDA GEREZANI, NIMEVUMILIA SANA HADI SIKU YA LEO NINA UCHUNGU SANA,NILIKUWA NAKUFICHA LKN CJAZIONA FADHILA ZAKO Ushauri wako ni muhimu nianze wap niishie wap ili mambo yawe sawa maana haya ni majanga
kwani hiyo simu yako haina sehemu ya kudilitia meseji?
Mkuu, inaonekana ukikikamata kijeba kinamsarandia mtoto wako unaweza kukiua!!
kapimeni umri wa ujauzito coz inawezekana ikawa ya mwalimu au ikawa yako,mwisho wa siku mwanamke ndie mwenye uhakika wa aliyempa mimba
kwani hiyo simu yako haina sehemu ya kudilitia meseji?
Niliingia katika mahusiano na dada mmoja mwishoni mwa November 2013 Baada ya yeye kumaliza kidato cha nne, tulipendana sana naye alitokea kunipenda.
Mwanzoni mwa mwezi wa 6 nikaamua kuachana naye kutokana na tabia yake kubadilika ghafla pia alianzisha uhusiano na mwalimu wake aliyemfundisha a_level tangu mwezi wa 6 hadi mwezi huu sijawahi kuwasiliana naye.
Leo asubuhi nimepokea sms imeandikwa hivi TABU NINAYOPATA MIMI KAMA KWELI MI NIKAJIFUNGUA SALAMA WE JIANDAE KWENDA GEREZANI, NIMEVUMILIA SANA HADI SIKU YA LEO NINA UCHUNGU SANA, NILIKUWA NAKUFICHA LAKINI CJAZIONA FADHILA ZAKO.
Ushauri wako ni muhimu nianze wapi niishie wapi ili mambo yawe sawa maana haya ni majanga.
Sijaelewa yaan msg ya dada huyo ndo hiyo mwez wa sita had huu wa tsa ni miez mitatu???? Sasa anajifungua lini