Nimepokea SMS hii nifanyeje?

Nimepokea SMS hii nifanyeje?

Baba kijacho huyoooooooo....hongera, kama ulimwaga mbegu kwa shamba lenye rutuba lazima mazao yakubali wewe jiandae kupalilia tu!!
 
Sanaa za kina dada hizo. Ukiwa ----- utabebeshwa si chako. Shule si alishamaliza? Atakuweka gerezani kwa msingi upi?
 
si kweli,kama mwanamke hajui ujauzito ni wa nani,basi amekubuu huyo,atakuwa katembea na zaidi ya mwanaume mmoja ndani ya wiki moja

Hapo pekundu ndio hasa namaanisha,wakifika hapo either wanapiga ana ana anadoo au wanachagua tu aliye-well off ndio baba au aliyenaye ktk ndoa ndio baba!btw hata wiki kubwa,wengine mchana kadakwa na jamaa kazini jioni mchumba ake au mumewe kataka na kampa pia utakuwa na uhakika gani mimba iliingia wa mchana au jioni?
 
  • Thanks
Reactions: lin
Kosa si kumtia mimba tu

ila pia kuwa na mahusiano ya mapenzi na mwanafunzi wa shule ni KOSA LA JINAI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom