SECRET AGENT
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 252
- 488
- Thread starter
- #21
So inamaana shipping anasimamia Supplier ??, Hizi bidhaa zangu kwenye shipping ilikua wao aliexpress standard shippingInategemea na supplier uliponunua. Baadhi sio waaminifu. Ali Express ni kiunganishi tu kati yako na muuzaji. Eg. Mwaka jana August Nilinunua bidhaa mbili totauti kutoka wauzaji wawili tofauti kupitia Ali Express. Bidhaa moia ilifika Dec/2021, sababu aliyotoa supplier ni kuwa Logistic company aliyotumia kuutuma mzigo kwangu ilipoteza mzigo, hivyo nilipofuatilia sana ndio akatuma tena!!! (Ina maana nisingefuatilia ungepotea). Bidhaa ya pili mpaka leo Feb/2022 haijafika. Supplier hana jibu la kuridhisha. (Ina maana umepotea).