Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe πŸ™‚

Missing u so badd sissy..😍

humu ndani mambo ni mob, and yeah nilipigwa ban wenye kuhitaji nafasi hiyo ofcourse wali party kama kawaida yao! Huku ndani mama njoo jifurahishe na wanaocheka na wewe, toka zako!
πŸ’―
Naamini watu wa namna hii wana matatizo ya akili, mtu akiwa timamu hawezi kubahave kwa namna hiyo.
Kuwa makini mamaa hakuna rafiki yako humu! Am outπŸ€ΈπŸ½β€β™‚οΈ
Niko makini always, stay safe babes!
 
Kuna mengine yapi? hebu nishushie mafaili.
Moja baada ya jingine utayajua yote!
Halafu nimeona best yako anaandika mambo ya "kuichapa na kuiwekea mate" toka lini bwashee ameanza story za kungonoka? au alikua kalewa?
Siku hizi amebadilika sana acha tu! Kuna siku kaanzisha uzi anapenda harufu ya k uzi ukaenda na maji! Amesema sisi sura za baba hakuna kuomba pesaπŸ˜†

Mwenyewe siku hizi simuelewi kabisa🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…