Duhh hizi mada zimeshamiri hadi sio poa
Za wauza utamu...Duhh hizi mada zimeshamiri sio poa
Hahaha kawaida tu. Wanafunzi wa Pandahill ukiwauliza mnasoma wapi wanakujibu "Tunasoma Ester Jose"
Hii sio joke, nimemuuliza leo mtoto mmoja maeneo ya Iwambi akanijibu hivyo nikabaki kucheka tu dah



full vichekeshooo.