Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,937
Kipi ni best au vyote sawa?Kupima 15000 rapid test
35000 kwa machine
Kinga 30000 kwa machine krb
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipi ni best au vyote sawa?Kupima 15000 rapid test
35000 kwa machine
Kinga 30000 kwa machine krb
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kufuatilia uzi hapa inayohusu Hepatitis B, leo nilienda kufanya vacination, wakasema hawawezi kutoa vacination bila kupima, wakapima nikiwa naona kwa sababu aliyenipima tunazoea naye.
Baada ya kupima, ikatiki (ikareact), akabadilisha kipimo ya kampuni nyingine.
Ikatiki tena (ikareact) hapo nikaprove am Hepatitis B positive, akaniomba nakapime na HIV ili ajue jinsi ya kunikacounsel kwa kuwa sikuwa na wasi wasi kwenye HIV coz najijua na najitahidi sana kujikinga pamoja na kupima HIV mara kwa mara vipimo viwili tofauti ikaonyesha Negative (Non reactive).
Hapa nimeshauriwa nitatumia ARV kwa miezi sita alafu narudia kupima tena, wakanitia moto nitapona bila shida.
Nawauliza kuna aliyewahi kutumia ARV (TLD) kutibu Hepatitis B disease anipe mwongozo, alipoenda kupima baada ya kutumia dawa alipata majibu aina gani?
Unapona kweli? Au nikusubiri kifo mapema? Cha ajabu sijawahi kusikia tatizo lolote kubwa ya kiafya.
Naomba msaada kwa mwenye uelewa na cha kufanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupima 15000 rapid test
35000 kwa machine
Kinga 30000 kwa machine krb
Sent using Jamii Forums mobile app
Comment yako ni nzuri na inajenga kama ukiizingatia,ingawa najuwa wengi wataichukulia poa...Aiseee haya maisha huwezi kuona thamani yake ukiwa na afya njema.ukipata magonjwa kama haya ndio unaona thamani ya kuwa na afya njema.dah!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningetamani watu wengi wasome huu uzi na comments zake,kuna elimu kubwa sana hapa...unajua tunaposema Hepatitis ni maambukizi ya Ini yanasosababishwa na Virus tofauti kama vile Flavivirus, Hepadna Virus , Calicivirus , Enterovirus n.k......kwa Hepatitis B ..maana yake unamaambukiz ya Hepadna Virus ..ARVs ni anti retroviral Dawa mahususi za kuzuia HIV .. Unajua kwann umepimwa na HIV?? Ni kwasababu ni Co-infenctions yaan Ni rahisi kumkuta mwenye HIV ana HBV lkn sio lazima mwenye HBV awe na HIV.
Sasa kwann unatumia ARV za HIV?? Kwa sababu HBV yeye kama yeye hana Dawa, Ila katika kufanya utafiti ikaonekana Dawa za ARVs mahususi kwa HIV zinauwezo wa kumzuia HBV asizidi kuzaliana nahatimaye kufutiliwa mbali na kinga ya mwili.
Ndio sababu, ARV zinatumika ..nakama ni acute nirahisi kupona kama utafuata Mashariti kwa muda huo wote .
Dah sawa itabidi siku nikipata nafasi niende kujikinga.Maisha yako yote
Ocean road kinga ni kati ya 10000 mpk 15000 ni cheap kulinganisha na sehem zingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ndo ushauri,usimeze kidonge ata kimoja bila kupima viral load,ili uweze kumeza ARV Lazma kuna idad ambayo virus wanatakiwa wafike,angalau 20,000
SO USIMEZE DAWA KABLA YAKUPINA VIRAL LOAD NA JITAHID UONANE NA SPECIALIST,,,,
NENDA REGENCY HOSPITAL J4 AU ALH SPECIALIST ANAKUEPO KUANZIA SA 10 JION NADHAN.
KUHUS KUPONA KUNA WATU WAMAPONA BAADA YAKUTUMIA DAWA 6 MONTH AND SO,SO ITS TRUE UNAWEZA KUPONA
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu jitahidi sana tena sana,sisi Watanzania magonjwa kama haya wengi wanaishi nao kwa kujua au kutojua....lkn kuna wengi hawapendi kuelezea ili kuwasaidia jamii .Namshukuru Mungu tangia nipime nimeelezea kwenye group ya wezangu nikawambia hali halisi kuhusu mimi nafrahi wamehitikia kupima na wameanza kupata chanjo nitasimamia hili swala hata nikitangulia lkn kuna wengine wamebadilika coz Watu wengine mpaka waone kwa wengine ndipo wanafuatilia.Dah sawa itabidi siku nikipata nafasi niende kujikinga.
Kiukweli nilikuwa siujui huu ugonjwa ndio nimeujulia hapa.
Miaka ya nyuma nilikuwa naona tu umeandikwa kwenye makaratasi ila sikuuchukulia maanani nikajua labda ni Kama maralia tu.
Kumbe ni kitu hatari hivi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu jitahidi sana tena sana,sisi Watanzania magonjwa kama haya wengi wanaishi nao kwa kujua au kutojua....lkn kuna wengi hawapendi kuelezea ili kuwasaidia jamii .Namshukuru Mungu tangia nipime nimeelezea kwenye group ya wezangu nikawambia hali halisi kuhusu mimi nafrahi wamehitikia kupima na wameanza kupata chanjo nitasimamia hili swala hata nikitangulia lkn kuna wengine wamebadilika coz Watu wengine mpaka waone kwa wengine ndipo wanafuatilia.
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli mkuu,ni hatari sana lkn lazima nikubali uhalisiaYesu wangu.....hiyo hepatitis B ninavyouogopa yaani nshamkumbuka Fork ( member aliyekufa na huo uginjwa). Mzee fatilia kila wanalokwambia
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Mkuu jitahidi sana tena sana,sisi Watanzania magonjwa kama haya wengi wanaishi nao kwa kujua au kutojua....lkn kuna wengi hawapendi kuelezea ili kuwasaidia jamii .Namshukuru Mungu tangia nipime nimeelezea kwenye group ya wezangu nikawambia hali halisi kuhusu mimi nafrahi wamehitikia kupima na wameanza kupata chanjo nitasimamia hili swala hata nikitangulia lkn kuna wengine wamebadilika coz Watu wengine mpaka waone kwa wengine ndipo wanafuatilia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu nimekupata,sema Kuna kitu kimoja Bado sijaelewa.Mkuu jitahidi sana tena sana,sisi Watanzania magonjwa kama haya wengi wanaishi nao kwa kujua au kutojua....lkn kuna wengi hawapendi kuelezea ili kuwasaidia jamii .Namshukuru Mungu tangia nipime nimeelezea kwenye group ya wezangu nikawambia hali halisi kuhusu mimi nafrahi wamehitikia kupima na wameanza kupata chanjo nitasimamia hili swala hata nikitangulia lkn kuna wengine wamebadilika coz Watu wengine mpaka waone kwa wengine ndipo wanafuatilia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ungonjwa njia kuu ni ngono zembe ila unaambukizwa hata kwa jasho tu limegusana yaan maambukizi yake ni hatari zaidi ya HIV lkn watu wamezubaa wanawaza kupima HIV tu na kubanjuka wanasahau hii kituSawa mkuu nimekupata,sema Kuna kitu kimoja Bado sijaelewa.
Njia kuu ya maambukizi ya huu ugonjwa ni ipi ili tuweke tahadhari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha kujiongezea hapo ni pamoja na kukisiana au kupigana denda ,kirusi cha HBV inachukua muda mrefu kufa ikiwa nje ya mwili kwa hiyo tahadhari inahitajika hata kwa damu lililokauka hata kwa siku saba.Huu ungonjwa njia kuu ni ngono zembe ila unaambukizwa hata kwa jasho tu limegusana yaan maambukizi yake ni hatari zaidi ya HIV lkn watu wamezubaa wanawaza kupima HIV tu na kubanjuka wanasahau hii kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah Asante Sana mkuu nazidi kupata mwangaza.Huu ungonjwa njia kuu ni ngono zembe ila unaambukizwa hata kwa jasho tu limegusana yaan maambukizi yake ni hatari zaidi ya HIV lkn watu wamezubaa wanawaza kupima HIV tu na kubanjuka wanasahau hii kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Vema Mkuu kama umeona ivoNingetamani watu wengi wasome huu uzi na comments zake,kuna elimu kubwa sana hapa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri. Mzuri Sana, pia Erika kushibisha Sana tumbo ,Kula kidogokidogoMimi siyo Virologist lkn nafikiri kuna utata, kwani cha muhimu ni viral load au kiasi cha viruses ulichonacho hilo ndiyo muhimu, na pia hepatetis B kuna chronic na acute, watu wengi walio na hepatetis B Tanzania walipata kutoka kwa mama zao wakati wanazaliwa kwa kuwa Tanzania hakuna chanjo ili kuzuia maambukizi ya virus ktk kwa mama kwenda kwa mtoto, hivyo bado Watanzania wengi bila ya kujua wanaishi na virus vya hepatetis B.
Kinachoamua kama uanze kutumia dawa au la ni kiasi cha virus au viral load, na hilo Daktari virologist lazima ajue.
Hepatetis B haina dawa, maana yake ni kwamba utaishi na virus mpaka mwisho wa maisha yako ila cha muhimu kuliko vyote ni afya ya ini, kwani hawa virus wa hep B husababisha saratani ya ini ambayo haina kinga, hivyo ni lazima kufanya vipimo vya ini, ...
Kwa maneno haya mkuu kwanini wewe usituambie unachokijua ili tupime nani ni mweupe kichwani kumshambulia mtoa mada ten pernonal haukutenda haki dhidi yake.Huna unalojua wewe , issue ndogo ya Hepatitis B inakutoa Jasho na ukute ni mtu kasomeshwa kwa Kodi zetu wananchi..
Unashindwa ku-argue kwa hoja unakimbilia eti "Mimi navifanyia kazi daily"
Kuna mzungu mmoja ni daktari ambae najua wewe mpaka kifo chako huwezi fikia status yake kwenye masuala ya afya alinipa hizo hints na ni kweli Zina logic na kumake sense...
Sasa wewe daktari wa vitini na notes za nyambali nyangwine ukute chuo umesomea hapo St Joseph unajiona unajua kila kitu kumbe mweupe Kama unga kichwani ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa ni fala dawa anauza milioni 10,huyu ni tapeli Ni mjanja mjanja kifupi Ni tapeli.Ila mkuu angalia bei zako sio rafiki kabisa kwa mfuko wa mtanzania
Kupima 15000 rapid test
35000 kwa machine
Kinga 30000 kwa machine krb
Sent using Jamii Forums mobile app