Nimepima Hepatitis B niko positive

Nimepima Hepatitis B niko positive

Unaleta utani na uhuni kwenye vitu vya msingi...!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umejiunga mwaka 2016 unanijuwa mimi ninaleta Utani? Tangu lini nikaleta utani katika jambo lililo gumu na zito kama hili? Wewe una miaka 3 hunijuwi sikujuwi mimi nina miaka 10 humu jamvini waulize watu wanao nijuwa humu jamvini mimi ni nani katika Jamiif Forums hii? Sipendagi kutoa ushauri wa utani katika maradhi. Kijana Jaribu kunifuatilia upate faida toka kwangu mimi. Umri wangu hauniruhusu kuleta mambo ya utani haswa linapokuwa tatizo zito la ugonjwa kijana kaa mbali na mimi .
 
Ila mkuu angalia bei zako sio rafiki kabisa kwa mfuko wa mtanzania
Mkuu ni kweli lakini Dawa za kutibu Maradhi ya homa ya ini aka Hepatitits B Virus , Maradhi ya Saratani na Maradhi ya Ukimwi aka HIV dawa ninazinunuwa toka nje Ya Tanzania na huko ninako agiza Dawa huwa nina nunuwa kwa pesa ya Dollar sio kwa pesa ya Shilingi. na Ndio maana bei ya dawa zangu ni ghali gharama ya ununuzi na gharama ya usafirishaji mpaka zikufikie ina ni-Coast mimi ninaye kuletea hizo dawa. Laiti dawa zingelikuwa zinapatikana hapo Tanzania isingelikuwa bei kubwa.
 
Hakuna ugonjwa ambao wewe mtu huwezi kuutibu!! Bila shaka hadi UKIMWI unatibu!

Hatari Sana!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Ukimwi Sio Ugonjwa Maana ya neno (Ukimwi) ni UPUNGUFU WA KINGA ZA MWILI (UKIMWI) AU (HIV) Hakuna Ugonjwa duniani unaitwa Ugonjwa wa Ukimwi. kwa imani yangu mimi ya Dini kama ni Muislam (HAKUNA MARADHI YASIYO KUWA NA DAWA YAKE)

Dr Sebi Tells How He Cures A.I.D.S

THERE IS ONLY ONE DISEASE MUCUS.......


WHERE MUCUS IS THE HUMMAN BODY?


According to Dr. Sebi, there exist only one disease which is mucus. He contended mucus in skin, blood and lymphatic system and membranes causes many afflictions.

DR.SEBI ADVICE IF YOU WANT CURE REMOVE THIS:

Dr. Sebi warned “remove from your diet lactose, uric acid, carbonic acid, milk, starches and meat.”
He pointed out any patient who gets the above eliminated form his system begins to recover in 24 hours and by 2 weeks will be fully recovered.

 
Huna unalojua wewe , issue ndogo ya Hepatitis B inakutoa Jasho na ukute ni mtu kasomeshwa kwa Kodi zetu wananchi..


Unashindwa ku-argue kwa hoja unakimbilia eti "Mimi navifanyia kazi daily"



Kuna mzungu mmoja ni daktari ambae najua wewe mpaka kifo chako huwezi fikia status yake kwenye masuala ya afya alinipa hizo hints na ni kweli Zina logic na kumake sense...


Sasa wewe daktari wa vitini na notes za nyambali nyangwine ukute chuo umesomea hapo St Joseph unajiona unajua kila kitu kumbe mweupe Kama unga kichwani ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Shusha hizo hints hapa mkuu. Achana na dokta wa nyambari
 
Mtake radhi MziziMkavu maana sio muhuni kwa nimjuavyo Mimi,ni MTU wa tiba asilia ,so ungemshauri tu nasio kumuita muhuni,huenda wewe labda ni mgeni jf lakini mzizimkavu ni mkongwe humu most of jf members wanamjua

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huyu Kijana kwa jina clecla said: hanijuwi kabisa katika hili jukwaa anafikiri mimi ninakurupia Topic za watu pasipo na kuwa na elimu na kile ninacho sema huyu Bwana mdogo clecla said: ana kama miezi 6 humu jamvini anaropoka ovyo kama mtu wa miaka mingi humu jamvini mtoto mdogo. Ninafikiri ninaweza hata kumzaa. Mwache aropoke kama mtu aliyekunywa maji chooni.Mpumbepumbe huyu.
 
Mkuu achana na hayo ma -ARVs...
Hepatitis B ikiwa kwenye stage ya awali inaponywa kwa lishe tu ... Piga lishe Safi halafu nenda kapime baada ya muda utakuja niletea ushuhuda hapa...


Mimi nimewahi pima na nikawa negative nikapata hizo sindano za chanjo tatu ... Ya mwisho namalizia mwezi January mwakani. Huyo daktari niliongea nae Sana kwanini wanatoa ARVs ... Wanatoa Kama supplement ya lishe kwa mgonjwa ambae Hana uwezo wa mlo kamili ... Ila Kama una uwezo lishe kamili hauna haja ya kumeza hayo madawa...


Nakushauri ongea na Huyo daktari wako Kama iko kwenye stage ya awali upige mlo kamili ... Hizo ARVs ndugu yangu sitaki kuelezea Sana ila Kama ungejua side effects zake usingetaka hata zisikia...


Fuatilia vifo vingi vya wanaotumia wanakufa kwa either mapafu, ini, figo n.k

Sent using Jamii Forums mobile app

Achukue huu ushaurii basii au amuone mzizimkavu zaidi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna unalojua wewe , issue ndogo ya Hepatitis B inakutoa Jasho na ukute ni mtu kasomeshwa kwa Kodi zetu wananchi..


Unashindwa ku-argue kwa hoja unakimbilia eti "Mimi navifanyia kazi daily"



Kuna mzungu mmoja ni daktari ambae najua wewe mpaka kifo chako huwezi fikia status yake kwenye masuala ya afya alinipa hizo hints na ni kweli Zina logic na kumake sense...


Sasa wewe daktari wa vitini na notes za nyambali nyangwine ukute chuo umesomea hapo St Joseph unajiona unajua kila kitu kumbe mweupe Kama unga kichwani ...

Sent using Jamii Forums mobile app

nimecheka hapo kwenye Vitini vya nyambali 🤣🤣nimekumbuka mbali sanaa 🤣🤣


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli mkuu,nilipoenda kuchukua dawa ,nilikutana na jopo la Madaktari wakanishauri nisichukue dawa, ni maintain diet alafu niende Mhimbili kwa ajili ya vipimo zaid,lkn ya kwangu nadhani ni acute coz cjaona dalili yoyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
How sure are you? unajua umekaa na ugonjwa kwa muda gani kabla ya kuugundua ulipoenda for a test?

Can you tell this is acute and this is chronic, can you differentiate the two?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom