Mfate dawa zake utasikia milioni 3 halafu Hana ofisi,ukijichanganya tu?Wangapi umetibu Lete ushahidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfate dawa zake utasikia milioni 3 halafu Hana ofisi,ukijichanganya tu?Wangapi umetibu Lete ushahidi
Ni kweli mkuu,nilipoenda kuchukua dawa ,nilikutana na jopo la Madaktari wakanishauri nisichukue dawa, ni maintain diet alafu niende Mhimbili kwa ajili ya vipimo zaid,lkn ya kwangu nadhani ni acute coz cjaona dalili yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba uni pm namba yako tuongee Kama hutajali.Ni kweli mkuu,nilipoenda kuchukua dawa ,nilikutana na jopo la Madaktari wakanishauri nisichukue dawa, ni maintain diet alafu niende Mhimbili kwa ajili ya vipimo zaid,lkn ya kwangu nadhani ni acute coz cjaona dalili yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fuata ulichoelezwa hospitali. Achana na stori za mitandao ya kijamii.Hapa kweli nachanganyikiwa nifuate ipi...yani maisha yamekuwa mafupi sana ,unajinkinga na hili, nyingine linatokea ..ningepata aliyewahi kutumia haya madawa ,akapona ningepata mwanaga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimeku pm mkuuHuu ndo ushauri,usimeze kidonge ata kimoja bila kupima viral load,ili uweze kumeza ARV Lazma kuna idad ambayo virus wanatakiwa wafike,angalau 20,000
SO USIMEZE DAWA KABLA YAKUPINA VIRAL LOAD NA JITAHID UONANE NA SPECIALIST,,,,
NENDA REGENCY HOSPITAL J4 AU ALH SPECIALIST ANAKUEPO KUANZIA SA 10 JION NADHAN.
KUHUS KUPONA KUNA WATU WAMAPONA BAADA YAKUTUMIA DAWA 6 MONTH AND SO,SO ITS TRUE UNAWEZA KUPONA
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kiswahili huu ugonjwa unaitwaje?Barbarosa, Nenda Geita..Fanya Ngono zembe au kua na contact ya mate ,chuchu na wanawake tofauti 10 ..usipoondoka na HBV shukuru..... HBV kwa sasa inatishia Geita, Kahama, Sengerema.
Kwa habari ya HBV-
Ikiwa mgonjwa yupo kwa acute stage huyu akitumia Dawa vzuri ANAPONA
Naomba kujua mashariti doctor.Ndio sababu, ARV zinatumika ..nakama ni acute nirahisi kupona kama utafuata Mashariti kwa muda huo wote .
Homa ya ini.
Geita ni hatari, HIV nayo inashika kasi sana mitaa hiyo.Barbarosa, Nenda Geita..Fanya Ngono zembe au kua na contact ya mate ,chuchu na wanawake tofauti 10 ..usipoondoka na HBV shukuru..... HBV kwa sasa inatishia Geita, Kahama, Sengerema.
Kwa habari ya HBV-
Ikiwa mgonjwa yupo kwa acute stage huyu akitumia Dawa vzuri ANAPONA
Ila kama HBV anaweza kuisha kabisa kws dawa.. kwanini HIV haishi ? Au ana genetic stricture tofauti na Virus wengine?unajua tunaposema Hepatitis ni maambukizi ya Ini yanasosababishwa na Virus tofauti kama vile Flavivirus, Hepadna Virus , Calicivirus , Enterovirus n.k......kwa Hepatitis B ..maana yake unamaambukiz ya Hepadna Virus ..ARVs ni anti retroviral Dawa mahususi za kuzuia HIV .. Unajua kwann umepimwa na HIV?? Ni kwasababu ni Co-infenctions yaan Ni rahisi kumkuta mwenye HIV ana HBV lkn sio lazima mwenye HBV awe na HIV.
Sasa kwann unatumia ARV za HIV?? Kwa sababu HBV yeye kama yeye hana Dawa, Ila katika kufanya utafiti ikaonekana Dawa za ARVs mahususi kwa HIV zinauwezo wa kumzuia HBV asizidi kuzaliana nahatimaye kufutiliwa mbali na kinga ya mwili.
Ndio sababu, ARV zinatumika ..nakama ni acute nirahisi kupona kama utafuata Mashariti kwa muda huo wote .
Hayo maeneo yana uhusiano gani na hilo gonjwa?Barbarosa, Nenda Geita..Fanya Ngono zembe au kua na contact ya mate ,chuchu na wanawake tofauti 10 ..usipoondoka na HBV shukuru..... HBV kwa sasa inatishia Geita, Kahama, Sengerema.
Kwa habari ya HBV-
Ikiwa mgonjwa yupo kwa acute stage huyu akitumia Dawa vzuri ANAPONA
Ili kujua kama acute infection or chronic wingi wa virusi (viral load) iwe ngapi? Mwenye kufahamu please share with us.
Habari,Baada ya kufuatilia uzi hapa inayohusu Hepatitis B, leo nilienda kufanya vacination, wakasema hawawezi kutoa vacination bila kupima, wakapima nikiwa naona kwa sababu aliyenipima tunazoea naye.
Baada ya kupima, ikatiki (ikareact), akabadilisha kipimo ya kampuni nyingine.
Ikatiki tena (ikareact) hapo nikaprove am Hepatitis B positive, akaniomba nakapime na HIV ili ajue jinsi ya kunikacounsel kwa kuwa sikuwa na wasi wasi kwenye HIV coz najijua na najitahidi sana kujikinga pamoja na kupima HIV mara kwa mara vipimo viwili tofauti ikaonyesha Negative (Non reactive).
Hapa nimeshauriwa nitatumia ARV kwa miezi sita alafu narudia kupima tena, wakanitia moto nitapona bila shida.
Nawauliza kuna aliyewahi kutumia ARV (TLD) kutibu Hepatitis B disease anipe mwongozo, alipoenda kupima baada ya kutumia dawa alipata majibu aina gani?
Unapona kweli? Au nikusubiri kifo mapema? Cha ajabu sijawahi kusikia tatizo lolote kubwa ya kiafya.
Naomba msaada kwa mwenye uelewa na cha kufanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
...vipimo unaweza pata hata temeke hosp or mnaz mmoja ila chanjo n ocean road unaenda na kadi tu maana majibu yanawekwa n database na sindano n 3 kila moja elfu 10..binafs nlifanya vipimo tmk hosp then chanjo nkaenda direct ocean road nkakuta majibu yapo kule...ocean road kuna folen kubwa ya wanahitaj vipimo ya huo ugonjwaDah sawa itabidi siku nikipata nafasi niende kujikinga.
Kiukweli nilikuwa siujui huu ugonjwa ndio nimeujulia hapa.
Miaka ya nyuma nilikuwa naona tu umeandikwa kwenye makaratasi ila sikuuchukulia maanani nikajua labda ni Kama maralia tu.
Kumbe ni kitu hatari hivi.
Sent using Jamii Forums mobile app