Nimepima Hepatitis B niko positive

Nimepima Hepatitis B niko positive

Woga umeshanishika tayari sikukuu ziishe niende kupima na kupata chanjo ya hepatis b
Kuhusu kulinda ini kunafanyikaje! Unazingatia vitu gani?
kweli mkuu, nenda ujapime ukapate chanjo,unaweza kutumia njia zote,kuzuia HIV ukapata HBV ,cha kushangaza Watanzania wengi hatuna.elimj kuhusu huu ugonjwa..nimewaza sana ndungu zangu waliopo kijijini.,wanaofanya kazi ngumu kma kuchanganya zege, mbanano kwenye mwendokasi na daladala mwisho wa siku ni kumwachie Mungu tu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa kweli nachanganyikiwa nifuate ipi...yani maisha yamekuwa mafupi sana ,unajinkinga na hili, nyingine linatokea ..ningepata aliyewahi kutumia haya madawa ,akapona ningepata mwanaga.

Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa upo sawa kweli?

Yaani ushauri wa online strangers ndo una utilia maanani kiasi cha kutaka kuacha ule uliopewa na professionals ambao una uhakika ni experts wa hiyo field.
 
Pole mkuu ushauri umepokea mwingi humu kubwa nenda hospitali kubwa kama muhimbili utapokea ushauri zaidi. Na Imani Mungu atakusaidia upone
 
kweli mkuu, nenda ujapime ukapate chanjo,unaweza kutumia njia zote,kuzuia HIV ukapata HBV ,cha kushangaza Watanzania wengi hatuna.elimj kuhusu huu ugonjwa..nimewaza sana ndungu zangu waliopo kijijini.,wanaofanya kazi ngumu kma kuchanganya zege, mbanano kwenye mwendokasi na daladala mwisho wa siku ni kumwachie Mungu tu .

Sent using Jamii Forums mobile app

Yaan hii hepatis b ni hatari zaidi ya ukimwi sema ni kweli wengi hatuna elimu na kupuuzia vitu hivi kunatugharimu
Bora kuwa na chanjo mazingira mengine hayo Mungu mwenywe atatulinda
 
Huna unalojua wewe , issue ndogo ya Hepatitis B inakutoa Jasho na ukute ni mtu kasomeshwa kwa Kodi zetu wananchi..


Unashindwa ku-argue kwa hoja unakimbilia eti "Mimi navifanyia kazi daily"



Kuna mzungu mmoja ni daktari ambae najua wewe mpaka kifo chako huwezi fikia status yake kwenye masuala ya afya alinipa hizo hints na ni kweli Zina logic na kumake sense...


Sasa wewe daktari wa vitini na notes za nyambali nyangwine ukute chuo umesomea hapo St Joseph unajiona unajua kila kitu kumbe mweupe Kama unga kichwani ...

Sent using Jamii Forums mobile app
nimecheka kwa sauti eti vitini vya Nyambari Nyangwine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ndo ushauri,usimeze kidonge ata kimoja bila kupima viral load,ili uweze kumeza ARV Lazma kuna idad ambayo virus wanatakiwa wafike,angalau 20,000

SO USIMEZE DAWA KABLA YAKUPINA VIRAL LOAD NA JITAHID UONANE NA SPECIALIST,,,,

NENDA REGENCY HOSPITAL J4 AU ALH SPECIALIST ANAKUEPO KUANZIA SA 10 JION NADHAN.

KUHUS KUPONA KUNA WATU WAMAPONA BAADA YAKUTUMIA DAWA 6 MONTH AND SO,SO ITS TRUE UNAWEZA KUPONA
Mimi siyo Virologist lkn nafikiri kuna utata, kwani cha muhimu ni viral load au kiasi cha viruses ulichonacho hilo ndiyo muhimu, na pia hepatetis B kuna chronic na acute, watu wengi walio na hepatetis B Tanzania walipata kutoka kwa mama zao wakati wanazaliwa kwa kuwa Tanzania hakuna chanjo ili kuzuia maambukizi ya virus ktk kwa mama kwenda kwa mtoto, hivyo bado Watanzania wengi bila ya kujua wanaishi na virus vya hepatetis B.

Kinachoamua kama uanze kutumia dawa au la ni kiasi cha virus au viral load, na hilo Daktari virologist lazima ajue.

Hepatetis B haina dawa, maana yake ni kwamba utaishi na virus mpaka mwisho wa maisha yako ila cha muhimu kuliko vyote ni afya ya ini, kwani hawa virus wa hep B husababisha saratani ya ini ambayo haina kinga, hivyo ni lazima kufanya vipimo vya ini, ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulilinda kivp boss,embu fafanua
Pole sana mkuu. Mm nnaishi na huo ugonjwa kwa mwaka wa 5 sasa, madakatar weng Tz hawajaufaham vizur na utafiti bado unaendelea ndo maaana hakuna mwenye jibu la moja kwa moja kuwa nn chanzo cha homa ya ini, nakushauri mm achana na hizo ARV ishi kwa kulilinda Inni lako basi utatoboa kulko hataa wasiokuwa na hivi virusi.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom