Umeamua tu kuuza sura mbona umepigwa kawaida tu mkuu
Una roho ngumu sana kipigo cha kawaida hicho katika maelezo yake akipumua anatoka damu puaniUmeamua tu kuuza sura mbona umepigwa kawaida tu mkuu
Amepigwa na Polisi akaripoti Polisi?!Nenda karipoti
Nenda karipoti
Iyo picha na mtu kusema anatokwa damu akikohoa itanichukua mwaka mzima kuamini karembua kabisaUna roho ngumu sana kipigo cha kawaida hicho katika maelezo yake akipumua anatoka damu puani
Mkuu msaidie hata kwa Yale mambo yetu ... Nikimkumbuka yule hakimu na kilichotokea dahpiga namba hizo kisha elezea ukweli kilichotokea 0756616777
Lisingetoka jicho kubwa mno labda lingepasuliwa tu kiaina flanMapolice utawajua tu!..una mtetea mwenzio jinsi alivyoshusha kipondo jicho karibia litoke??!!!??
View attachment 1076020
Mimi ni mwananchi, mfanyabiashara naishi Mbagala jijini DSM katika Wilaya ya Temeke.
Leo tarehe 19/04/2019 majira ya saa nne asubuhi ndani ya kituo cha Polisi cha Maturubai, Mbagala nimeshambuliwa bila hatia yoyote na askari Polisi anayefahamika kwa jina la Friday Mgina akiwa amevaa sare za Jeshi la Polisi na amenishambulia mbele ya askari wenzake na amepora gari langu aina ya Toyota Hiace lenye namba za usajili T615 DBX na kuondoka nalo na mpaka sasa sijui hilo gari lipo wapi.
Kwa sasa nipo hospitali ya serikali Mbagala Zakhiem kwa ajili ya matibabu ila hali yangu ni mbaya kwani nikikohoa natoa damu na nikipiga chafya natoa damu.
Nawaomba viongozi wangu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama wapate taarifa ili hata nikifa ifahamike chanzo cha kufa kwangu ni kipigo nilichopewa na askari huyu.
Pia naomba sana taarifa hizi zimfikie Rais wangu mpendwa aone jinsi mwananchi wake nisiye na hatia nilivyoteswa na kuumizwa na Askari Polisi.
Nchi za wenzetu, askari ni rafiki wa raia ila huku kwetu mambo ni tofouti kidogo..
Hii chuki inayopandikizwa haitowaacha salama siku za usoni..
Nipo Mpenzi, sema mambo mengi kweli..umepotelea wapi The origenology?
Tulia kwanza jieleze vizuri tujue chanzo ni nini wewe ndio unaonekana unakosa
Umeona ehee! Atuambie ukweli aliwafanyiaje hao sojaHata mimi naamini hivyo. Huenda polisi alikuwa amamwandaa mtuhumiwa jinsi ya kumkamata baada ya kuona ni mtata.
Kwani wao wanakupenda? Ata mimi pindi nipo shule ya msingi niliwachukia sana walimu kumbe nilikuwa nakosea,ile ndio professional yao, ata ungekuwa ndio unaifanya wewe lazima ungekaa kwenye ethics izo izo, respect to each other !!!!!!!!Nilikuwepo pale saa 5 asubuhi. Ulikua ushaondoka?
Mimi ndio maana nawachukia askari siwapendi hata iweje.
Yaani uyu jamaa anadeka sana, sasa apo kuna kipigo gani cha kutaka raisi ajueIyo picha na mtu kusema anatokwa damu akikohoa itanichukua mwaka mzima kuamini karembua kabisa
asante sanaMkuu mbona hutowi maelezo kamili.
Bali vipande vipande!
Ili usaidiwe humu unabidi kufunguka.
Ila pole yako.
Inakuwaje kupigwa bila hatia, stori sijaielewa vizuri. Kuna vitu vinapungua kwenye maelezo yako.
Btw karibu JF maana nimeona wewe ni new member.
Askari kazi yake ni kukamata kama umetenda kosa na sio kupiga watuChanzo nini? Mi naamini ipo sababu tu ya kupigwa. Kuwa mkweli,atuangalii upande mmoja,askari cio mwehu mpaka akupige iv iv, kuna ishu umemfanyia tu uyo soja, by the way cku iz raia munamazoea mabaya sana
Hao askari labda Wa INDIA ndio watakukamata kama mwali af wakuseme mpaka ulie, uku Africa lazima ulegezwe kwa mambata,faulo,mabanzi, iv unajua kazi ya askari ni risk?Askari kazi yake ni kukamata kama umetenda kosa na sio kupiga watu