mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,364
- 6,487
Safiii sanaa
Kwa hiyo ianzishwe mamlaka ya Michepuko?Mi mwenyewe response kwa mizinga uchwara kama hiyo nimekuwa Nakula kona
This has become a serious problem, mamlaka zinazohusika have to address it, khaaaaa laki3? Kwa usawa huu